Jux Vuitton...!!!!

Jux Vuitton...!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Huyu jamaa nilianza kumkubali tangu ngoma yake ile ya napata raha. Then nikamsikia kwenye chorus kadhaa za kwenye baadhi ya hit songs, ila hii ngoma yake mpya 'Uzuri wako' ni kali kuanzia audio na video ndio balaaa. Sio siri kijana mwenzetu anajitahidi sana,hususani katika mavazi naona jamaa yuko poa sana. Big up Jux.
 
Huyu jamaa nilianza kumkubali tangu ngoma yake ile ya napata raha. Then nikamsikia kwenye chorus kadhaa za kwenye baadhi ya hit songs, ila hii ngoma yake mpya 'Uzuri wako' ni kali kuanzia audio na video ndio balaaa. Sio siri kijana mwenzetu anajitahidi sana,hususani katika mavazi naona jamaa yuko poa sana. Big up Jux.

jamaa anaweza...huwa sichoki kumsikiliza..

kuna hits nyingine kama...

*niwe nawe
*ninapokuwa nawe
*mwambie yeye
*nimedata

ni noma sana!!
 
personally jux katika kuimba simkubali sana ila katika mitupio ni among wakali wanaonipa stress..anajua kuvaa mnyamwezi na nguo zinamkaa
 
personally jux katika kuimba simkubali sana ila katika mitupio ni among wakali wanaonipa stress..anajua kuvaa mnyamwezi na nguo zinamkaa

Hahah Muuza Sura comment zako tu ndo zinaniuaga. Ila kweli jamaa katika mitupio achana naye kabisa, ukiingia instagram unaweza kudata.
 
Last edited by a moderator:
personally jux katika kuimba simkubali sana ila katika mitupio ni among wakali wanaonipa stress

anakupa stress kwny kuvaa? kwani huwa mnashndana? mwambie hemed atoe ngoma kali kwani hasikiki kabsa!
 
anakupa stress kwny kuvaa? kwani huwa mnashndana? mwambie hemed atoe ngoma kali kwani hasikiki kabsa!

movie zinamlia sana muda mkali PHD,naamini akiamua kufanya music serious ana uwezo wa kutamba katika game ya uimbaji...sina uhakika but nimesikia anakuja na ngoma mpya na mabeste...
 
kwny movie yupo poa sana nimecheki kama 3 hivi. halafu mama kimbo si alifanya na mabeste pia?
 
ni potential lakini sio hustler coz ni mtoto wa kishua hawezi kufika mbali kimziki ni mtoto mchele chele mama chakula kipo wapi anashindwa kutumia vema kipaji chake
 
images (1).jpgju.jpgjux dede.jpgjux mnyama.jpgjux.jpg
 
Hizi kombati si ndio zinatumika kwenye ujambazi ?
Huyu dogo akidondokea mikononi mwa Mwamunyange atahenya huyu !!
 
Back
Top Bottom