Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Alinifata akiniomba msaada nimpe sehemu ya kujihifadhi, ndani ya siku 5 jasusi nilikuwa nimeishausoma mchezo, Manka anasoma game jinsi atakavyonipiga tukio, ilinibidi nipindue meza haraka sana .....
Step alizokuwa anazipitia Manka ili anipige tukio.
1) aliniibia ufunguo mmoja wa kitasa cha mlango wa nnje.
2) alihakikisha kila anapotoka anaondoka na kitu chochote kitu hata kama ni nikijiko au kikombe.
3) alijifanya ananipenda saana ,na muda mwingine kujifanya ananihurumia sana😁😁😁....
Point tatu zilizonifanya nimuondoe manka' only in five day"
1) Akilala saa tano usiku kuamka ni saa tano asubuhi...
2) Hawezi kufanya usafi wowote wa nyumba mpaka umshurutishe...
3) Cha kwake ni cha kwake 😁😁 cha kwangu ni cha kwetu.
Step alizokuwa anazipitia Manka ili anipige tukio.
1) aliniibia ufunguo mmoja wa kitasa cha mlango wa nnje.
2) alihakikisha kila anapotoka anaondoka na kitu chochote kitu hata kama ni nikijiko au kikombe.
3) alijifanya ananipenda saana ,na muda mwingine kujifanya ananihurumia sana😁😁😁....
Point tatu zilizonifanya nimuondoe manka' only in five day"
1) Akilala saa tano usiku kuamka ni saa tano asubuhi...
2) Hawezi kufanya usafi wowote wa nyumba mpaka umshurutishe...
3) Cha kwake ni cha kwake 😁😁 cha kwangu ni cha kwetu.