Jwaneng Galaxy vs Simba Sc Tathmini ya JF

Tatizo la mipira ya set pieces siyo kwa Simba tu, timu zetu nyingi hata timu ya taifa kuna tatizo Hilo.
 
)
Ni kweli Simba wamepangwa na kibonde sana. Botswana hawana asili ya mpira ktk Afrika hivyo Simba wakifuzu makundi hawatakuwa na cha kujivunia.
Ila yanga wana la kujivunia maana wametolewa na timu bora mno afrika! Timu ambayo imetwaa mataji sana na kila mwaka hufika nusu fainali caf!! Kwa akili za utopolo hivyo ndivyo wanavyoamini!! Manara hakukosea.
Your browser is not able to display this video.
 
Timu yangu mwaka huu ni matopolo no chemestry sijui preseason walikuwa wanajenga nini, too much back passes, sprinting wing forwards hakuna, shooters outside the books zero, akili za kushuti toka mbali zero, self initiated game temper/aggressive and speed zero hadi wafungwe ndio wanaamka, dakika 20 hadi 30 za first half wanacheza kichoko sana, kesho wajipange Galaxy haimwachi Simba salama, na hii ni Simba ya UD Songo. Wachezaji wenyewe wa kawaida na hawaonyeshi morale wenye kuakisi brand ya Simba, Kauli ya this is Simba imewadumaza kiakili. Mpira ni Science mara oooh wewe utakuwa Utopolo sawa tujipange kutokuwa Matopolo.
 
Kuna kikundi cha ngumi mkononi kinaroga kila siku ili Simba ifungwe ili ifanane nacho.
Ndio maana wengi wetu hatufiki mbali kimaendeleo.
Roho za kwanini.
Badala wao pia wakaze waifikie levo ya Simba.
Wanapigana usiku na mchana ili Simba ifungwe ifanane nao.

Wanaitwa WA HAPA HAPA.
 
Mimi Yanga tena lialia ila na imani kubwa sana juu ya Simba japo wachezaji wengi wageni kwa kikosi naamini Simba haijatetereka kiivyo kama tunavyoaminishana kwenye mitandao kwamba kuna pengo kubwa sana la kondeboy na chama hapana Simba bado ya moto hope wanatoboa kwa hawa jamaa aidha ata kwa mkapa wana advantage kuanzia ugenini.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]kweli UTOPOLO [emoji107][emoji107][emoji107][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo jina ni sahihi kabisa kwao.
Mabingwa wa kwenye Ndoto
 
Magori ambae ni mpambe wa MO alitudokeza safarihii Simba Ina timu Kali na imepata pre season ya kutosha. Bahati nzuri mpira unachezwa hadharani, kwenye Ligi tumesha iona Simba tunasubiri Klabu Bingwa Afrika.
Uliiona Simba mbovu kwenye ligi, umeiona Simba mbovu na Galaxy na utaiona simba mbovu kwa mkapa mechi ya marudio. Asante, ulete mrejesho
 
Yaah makundi mtaenda ila huko ndio mtaenda kupata shida kutokana na Nature ya kikosi cha sasa

Struggle ni nyingi kuliko Good performance

Sometimes lazima tuambiane ukweli na tukubaliane
Kipi Simba hatujasikia .
huu ni msimu mwingine mkisema hivyohivyo, hamuendi kokote, tukaingia makundi, hamuendi kokote tukaingia robo fainal, wekeni akiba ya maneno.
 
Yaah makundi mtaenda ila huko ndio mtaenda kupata shida kutokana na Nature ya kikosi cha sasa

Struggle ni nyingi kuliko Good performance

Sometimes lazima tuambiane ukweli na tukubaliane
Kustrugle ndiyo kutengeneza matokeo mazuri, Kuna kustrugle siyo kwasababu hauko bora bali ni kwasababu unataka kusimama imara na kuonyesha ubora wako.

Hii kazi wanaiweza Simba, Hawa ni wanyamwezi wa Tz ktk ligi ya mabingwa.
ETI SIMBA NI ILE ILE NI KELELE TU ZIMEKOSEKANA.

rivers hoyee!
 
Ni kweli Simba wamepangwa na kibonde sana. Botswana hawana asili ya mpira ktk Afrika hivyo Simba wakifuzu makundi hawatakuwa na cha kujivunia.
Ila ukitolewa raundi ya kwanza tu ndiyo unatembea kifua mbele.
Tena na rank zako CAF zinapanda. Unakuwa timu tishio hasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…