Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia ni magufulista, yeye anauma na kupuliza.Mambo yanabadilika kweli, siku hizi jeshi linatoa ufafanuzi? Maana kipindi cha shujaa walikuwa very manual.
Hii ni transparency spirit ya Mama Samia iko kazini
MamboAbeee
Wenye kununa wakagaregare kaburini ChattleImeisha iyo, kazi iendelee Rais Samia mitano tena,
Mngefanya kama mamadou doumbuya lile jamaa jasiri Sana, lingekuwa lenyewe lisinge ruhusu huu upuuzi unaoendelea wa msoga gang.
Ningeliona JWTZ kweli liko kwa ajili ya watanzaniaMngefanya kama mamadou doumbuya lile jamaa jasiri Sana, lingekuwa lenyewe lisinge ruhusu huu upuuzi unaoendelea wa msoga gang.
This was necessarySio kila uzushi lazima jeshi litoe ufafanuzi...
Taarifa feki zinajulikana..
Ujasiri wa kwenye keyboard na ID fake. Nenda katamke uliyoyaandika hapa mbele yao ndo utajua ni mgambo au jeshi.JESHI AU MGAMBO??? YAKIITWA MAJESHI NAO WANATOKA MBELE???
Wamemuelewa mamaMambo yanabadilika kweli, siku hizi jeshi linatoa ufafanuzi? Maana kipindi cha shujaa walikuwa very manual.
Hii ni transparency spirit ya Mama Samia iko kazini