JWTZ: Hakuna aliyeongezewa mshahara. Aliyepotosha kushughulikiwa

Jeshi kwanini mnatoa promo? Maana wengi imetulazimu kutafuta hiyo page ya TAT
 
Nchi Ya Matamko Sasa

Hawa Wanasema Wale Wanakanusha
 
Watu wakorofi sana. Wametafuta kujua ukweli wa swala la mishahara bila ya mafanikio, wakaamua kuligusa Jeshi, na wao hawakujua kuwa huu ni mtego wakajikuta wanafunguka😃.
Ni kama vile upo unapotumiwa ka file ka video ya ngono. Unakatolea mimacho kumbe ka hidden program inayokua ina snoop devuce yako na taarifa zilizomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…