Sasa ni wakati wa kubadilika, mambo yatokeavyo huko majuu ni matumizi ya ndege zisizo na rubani katika medani za vita.
Jeshi letu ili lisije likachelewa lijikite katika kutumia, kutengeneza na kuzidhibiti aina ya ndege hizi, ndege ambazo sasa ni maarufu sana.
Zinatumika kufanya doria usiku na mchana, kwa hapa TZ zinaweza kutumika kufanya doria katika hifadhi za Taifa, kufanya doria katika bandari bubu, yaani huko duniani kila kitu ni drone, mambo ya kutumana frnt line yamepungua.
Jeshi sasa lianze kutengeneza hivi vitu, tena ni vitu ambavyo vilianza kuuzwa kama toys tu.
Huko vita ya Urusi na Ukraine hakuna anaYemsogelea mwenzake, ukisogea tu drone inatoa habari wazee wa vipimo wanakuangushia mzigo.
Ndio mkaona hii vita inanendelea mapigano ni kurushiana misaili tu.
Drone ndio habari iliyoko huko ulimwenguni.
Itakuwa mmenielewa, tusipitwe.
Jeshi letu ili lisije likachelewa lijikite katika kutumia, kutengeneza na kuzidhibiti aina ya ndege hizi, ndege ambazo sasa ni maarufu sana.
Zinatumika kufanya doria usiku na mchana, kwa hapa TZ zinaweza kutumika kufanya doria katika hifadhi za Taifa, kufanya doria katika bandari bubu, yaani huko duniani kila kitu ni drone, mambo ya kutumana frnt line yamepungua.
Jeshi sasa lianze kutengeneza hivi vitu, tena ni vitu ambavyo vilianza kuuzwa kama toys tu.
Huko vita ya Urusi na Ukraine hakuna anaYemsogelea mwenzake, ukisogea tu drone inatoa habari wazee wa vipimo wanakuangushia mzigo.
Ndio mkaona hii vita inanendelea mapigano ni kurushiana misaili tu.
Drone ndio habari iliyoko huko ulimwenguni.
Itakuwa mmenielewa, tusipitwe.