bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hata sijaelewa umeandika nini mkuu hilo jeshi wana kitengo cha kuuza trekta za kutoka nje badala ya kuuza trekta za kwao mwaka huu wa 2023....Kila kinategemea uchumi wa nchi, mbali hivyo vitu vya kijeshi, kiwanda cha kuunda baiskeli nchi mzima kiko wapi.
Jeshi haliwezi kuendelea, kwenye nchi ambayo haijaendelea, ili kuwa na maendeleo kunahitaji uchumi imara.Hata sijaelewa umeandika nini mkuu hilo jeshi wana kitengo cha kuuza trekta za kutoka nje badala ya kuuza trekta za kwao mwaka huu wa 2023....
Mkuu vitu ni malengo ukiwa na malengo na kitu hicho unaweza kufanya kitu chochote hicho ndicho nachoamini kama haujafanikiwa leo wapo watakaoendeleza hiyo idea maana hata tunavyofanya sisi raia sasa hivi tungesema hatuwezi kufanya kwa sababu tupo kwenye Nchi masikini tungedumaa mpaka leo...Nchi zote unazoziona zina mafanikio nazo zilipita huku tulipo...Jeshi haliwezi kuendelea, kwenye nchi ambayo haijaendelea, ili kuwa na maendeleo kunahitaji uchumi imara.
Huwezi kuelewa kwa sababu wewe unajua mtu akiwa mwanajeshi tayari ana uwezo wa kuunda chochote, ungekua mtu wa kujiuliza ungejiuliza maprofesa wetu,;kipi wamekifanya. Ili nchi iwe na uchumi mzuri, ili kufikia ndoto zako.
Sisi kipi tumekifanya kitaje kimoajawapo.Mkuu vitu ni malengo ukiwa na malengo na kitu hicho unaweza kufanya kitu chochote hicho ndicho nachoamini kama haujafanikiwa leo wapo watakaoendeleza hiyo idea maana hata tunavyofanya sisi raia sasa hivi tungesema hatuwezi kufanya kwa sababu tupo kwenye Nchi masikini tungedumaa mpaka leo...Nchi zote unazoziona zina mafanikio nazo zilipita huku tulipo...
Sipo kwenye show off hapa....Sisi kipi tumekifanya kitaje kimoajawapo.
Wanawekeza kwenye kufungua bar na mafremuSasa ni wakati wa kubadilika, mambo yatokeavyo huko majuu ni matumizi ya ndege zisizo na rubani katika medani za vita.
Jeshi letu ili lisije likachelewa lijikite katika kutumia, kutengeneza na kuzidhibiti aina ya ndege hizi, ndege ambazo sasa ni maarufu sana.
Zinatumika kufanya doria usiku na mchana, kwa hapa TZ zinaweza kutumika kufanya doria katika hifadhi za Taifa, kufanya doria katika bandari bubu, yaani huko duniani kila kitu ni drone, mambo ya kutumana frnt line yamepungua.
Jeshi sasa lianze kutengeneza hivi vitu, tena ni vitu ambavyo vilianza kuuzwa kama toys tu.
Huko vita ya Urusi na Ukraine hakuna anaYemsogelea mwenzake, ukisogea tu drone inatoa habari wazee wa vipimo wanakuangushia mzigo.
Ndio mkaona hii vita inanendelea mapigano ni kurushiana misaili tu.
Drone ndio habari iliyoko huko ulimwenguni.
Itakuwa mmenielewa, tusipitwe.
Hapana, Wanaoshinda Bar na wake za watuUnazungumzia hawa wanaoshinda chini ya miti na kuangalia pono!??