Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Sio siri kuwa JWTZ inafanya kazi inayotukuka kweli kweli. Maadui wa nje hawafanyi chokochoko tena katika mipaka yetu.
Lakini sasa kuna adui wa ndani ya nchi anateka watu, anawatesa na kuwaua apendavyo. Kuna faida gani mlinzi yuko getini tuu kuzuia azure wa nje wasiingie lakini kama yuko aliyeko ndani anamuacha adhuru walio ndani?
Pia soma: Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
Mashujaa wetu JWTZ mmeona vilio vya mama zenu, shangazi zenu na kaka na dada wakiwalilia wenzenu kaka Soka, Saanane, Sativa nk kama watu wasio tegemeo wakati nyie mpo lakini eti mipakani mkiwasubiri makaburu au manyang'au toka nje?
Nyie sio wa kukodiwa toka mbali (mercenaries) bali ni familia zetu kabisa mnakubalije ndugu zenu waishi kama digidigi?
Pia soma: Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
TOENI HATA TAMKO.
Tunajua miongoni mwenu wapo wenye fikra kama za huyu!
Lakini sasa kuna adui wa ndani ya nchi anateka watu, anawatesa na kuwaua apendavyo. Kuna faida gani mlinzi yuko getini tuu kuzuia azure wa nje wasiingie lakini kama yuko aliyeko ndani anamuacha adhuru walio ndani?
Pia soma: Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
Mashujaa wetu JWTZ mmeona vilio vya mama zenu, shangazi zenu na kaka na dada wakiwalilia wenzenu kaka Soka, Saanane, Sativa nk kama watu wasio tegemeo wakati nyie mpo lakini eti mipakani mkiwasubiri makaburu au manyang'au toka nje?
Nyie sio wa kukodiwa toka mbali (mercenaries) bali ni familia zetu kabisa mnakubalije ndugu zenu waishi kama digidigi?
Pia soma: Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
TOENI HATA TAMKO.
Tunajua miongoni mwenu wapo wenye fikra kama za huyu!