JWTZ mpaka leo imeshindwa kuajiri wasomi wenye vipaji halisi, sababu hizi hapa...

master yako ya sheria itawekwa nyuma ya mzinga ukutane na "big bang" jeshi linahitaji wasomi wachache tu.nani kakwambia digrii zinahitajika jeshini.ha ha ha ni mimi" the war as i hav seen"
 

Sir,umeongea vema sana sir!
 

Kazi ya jeshi ni kupigana na si kingine
 
Kazi ya jeshi ni kupigana na si kingine
Na hayo mengine yote yapo kuwezesha jeshi lipigane, basi. Tatizo vijana wengi siku hizi wanalitazama jeshi kama ajira ya kawaida tu.
 
Jamaa wa Masters ya LLB ametoweka ghafla na ndy wanaoongoza humu jf kwa ubishi na ujuaji
 
Na hayo mengine yote yapo kuwezesha jeshi lipigane, basi. Tatizo vijana wengi siku hizi wanalitazama jeshi kama ajira ya kawaida tu.

Ajira kitaan imekuwa ngumu ndomana wasomi wanaona bora twende tu jeshini ila

Jeshi ni taasisi nyingine kabisa tofauti saaaaaaaaana ni vigumu kuendeshwa kwa misingi ya watu binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…