Jwtz: Nini kinaendelea wadau?

Gagurito

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
5,600
Reaction score
806
Mwaka huu ndio unaelekea ukingoni, vipi zile nafasi za JWTZ professiònals mbona kimya?
 
Mwaka huu ndio unaelekea ukingoni, vipi zile nafasi za JWTZ professiònals mbona kimya?

Ulidhani masihara nilivyokwambia au siyo? Sasa mambo ndio hayo yanakuja kwa vitendo,lazima mtatubu tu wadogo zangu,kinachowaponza ni fikra mgando,hamna options za maisha kabisa,mtakuja kufariki kwa stress shauri zenu.
 
Ulidhani masihara nilivyokwambia au siyo? Sasa mambo ndio hayo yanakuja kwa vitendo,lazima mtatubu tu wadogo zangu,kinachowaponza ni fikra mgando,hamna options za maisha kabisa,mtakuja kufariki kwa stress shauri zenu.

Hebu rudia uliacho twambia mkubwa!
 
Ulidhani masihara nilivyokwambia au siyo? Sasa mambo ndio hayo yanakuja kwa vitendo,lazima mtatubu tu wadogo zangu,kinachowaponza ni fikra mgando,hamna options za maisha kabisa,mtakuja kufariki kwa stress shauri zenu.

kumbe mgao wa VILAZA na huku ulifika!?
 
oya cna uhakika ila nmeckia nyingne zmetoka wanachukulia vichwa ofc za wilayani deadline tar nov 20 au 22, lakn zilizotoka mda ivi wa2 wapo jkt. Nafuatilia.... ebu fanyien kazi
 
oya cna uhakika ila nmeckia nyingne zmetoka wanachukulia vichwa ofc za wilayani deadline tar nov 20 au 22, lakn zilizotoka mda ivi wa2 wapo jkt. Nafuatilia.... ebu fanyien kazi

Okey nafatilia!
 
Mwaka huu ndio unaelekea ukingoni, vipi zile nafasi za JWTZ professiònals mbona kimya?

JWTZ professionals ndo nini we mtoto? hakuna kitu kama hicho kama ni professional unaipata jeshini na sio kabla, piga kwata, lenga shabaha, mambo mengine yatafuta we kuruta.
 
JWTZ professionals ndo nini we mtoto? hakuna kitu kama hicho kama ni professional unaipata jeshini na sio kabla, piga kwata, lenga shabaha, mambo mengine yatafuta we kuruta.

Hahahahahahahaaaaa! Umesomeka vyema mkuu bt umri wa kwata umetupita wengine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…