Askari wa miguu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 344
- 124
ukishajua itakusaidia nini?je umewezaje kujiita ID hiyo bila kujua iko vp?.ntakusaidia kidog6 Lt Conal huyu anakua na nyota moja pamoja na ngao ya bibi na bwana begani kila upande.
Hivi Jeshini kuna wataalamu? Kuna kitu gani walishawahi gundua chenye manufaa? Maana majeshi ya wenzetu huko usa ndio technology inapoanzia sijui kwa hapa kwetu ebu tujuzeni.
first,usiwe na ulemavu wowote,hivi procedure hua zikoje?? i wanna go too....
Hivi Jeshini kuna wataalamu? Kuna kitu gani walishawahi gundua chenye manufaa? Maana majeshi ya wenzetu huko usa ndio technology inapoanzia sijui kwa hapa kwetu ebu tujuzeni.
Mnatuchanganya tu jamani .......................! watu tunangojea watangaze afu mnasema watu tayari wako depo..........!???? mbna hamueleweki...............!
Guys, plz naomba kufahamishwa, kwa waliomaliza vyuo na wanasubiri graduation on octoba, novemba e.t.c mwaka huu..wanayo fursa? n if yes how r dey gona b recognized as graduates coz hawana vyet?
Kwa taarifa nilizonazo proffessional wamechukuliwa mwezi wa 6 na sasa wapo mafunzoni kwa miezi 6 mimi mwenyewe nmepewa taarifa na mkuu mmoja wakambi hapa Kigoma,ila wakianza mchakato tena tutapeana taarifa wakuu