Mkuu amini nayokwambia kama unaweza wewe niPm ntakupa maelezo kamiliHabari hizi zinachanganya!
ukishajua itakusaidia nini?je umewezaje kujiita ID hiyo bila kujua iko vp?.ntakusaidia kidog6 Lt Conal huyu anakua na nyota moja pamoja na ngao ya bibi na bwana begani kila upande.
jwtz mzuka sanaa vyeo vya kumwaga form6 nyota2,wakati policeform6 ukoplo,magereza nakoform6 ukoplo,form6 kimbilien jwtz
Daah!baab!mvumilivu hula mbivu,cha msingi ni kusikilizia upepo,maana hapa kuna wengine wanaleta mkanganyiko wa taarifa,sijui wivu, hawataki 2jue muda watakao toa taarifa za kujiunga na jeshi,hebu 2peane ukweli,wote 2nataka 2we wazalendo wa taifa le2,ukinibania kunipa information haitakusaidia chochote.
umeona eeh, kama huna information ya ukweli jst shut up watu tupo serious na kama unayo tena ya uhakika bc FUNGUKA
sio kupost tu ilimradi uonekane umepost