Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakifikia?Huyo atakuwa mrembo haswa
Anakifikia kinini?Anakifikia?
Makonda kasema acheni kuwasumbua mawaziri wakeAnakifikia kinini?
Makonda kasema acheni kuwasumbua mawaziri wake
Inasemekana jamaa ni naibu raisDuh! Huyo jamaa hivi mbona ana kiburi kiasi hiki, "mawaziri wake", baraza ni lake, kuna matamko yanapaswa kusemwa na rais, kwa mfano "serikali yangu" nakumbuka siku walipishana na waziri wa afya kwenye kauli za nani atoe taarifa za mgonjwa wa Corona, Makonda alijibu akitumia maneno "waziri wangu"......
Mjiandae kwa rais Makonda siku za usoni.
Ina uhusiano gani hiiMakonda kasema acheni kuwasumbua mawaziri wake
Kama tpdf sio jeshi imara mbona nchi nyingi za ovyo zinatuzunguka lakini haziathiri amani yetu na pia sisi tuna ardhi kubwa na nchi nyingi za jirani wanataka hiyo ardhi lakini umeona nchi gani ikiletea shida tz.hii ni kwa sababu Tanzania ni nchi imara kiulinzi afrika.Tpdf ni jeshi imara kwa Madoso labda .
Wasichokielewa watu kua jeshi watu wanafundishwa ushirikiano , hvyo basi ukimchukua mwanajeshi mmoja mmoja na kumlinganisha na raia bas utaona tofauti ndogo sana ambayo haiwez kuzuia baadhi ya mambo kufanyika ikiwemo kama hayo tunayoyaona ya uuaji wa maaskari wa jeshi na ubakaji.
tz is surrounded by peaceful nations...except the drc , but lake tanganyika protects youKama tpdf sio jeshi imara mbona nchi nyingi za ovyo zinatuzunguka lakini haziathiri amani yetu na pia sisi tuna ardhi kubwa na nchi nyingi za jirani wanataka hiyo ardhi lakini umeona nchi gani ikiletea shida tz.hii ni kwa sababu Tanzania ni nchi imara kiulinzi afrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenielewa vzr point yangu??Kama tpdf sio jeshi imara mbona nchi nyingi za ovyo zinatuzunguka lakini haziathiri amani yetu na pia sisi tuna ardhi kubwa na nchi nyingi za jirani wanataka hiyo ardhi lakini umeona nchi gani ikiletea shida tz.hii ni kwa sababu Tanzania ni nchi imara kiulinzi afrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Almost every countries that surround us want portion of our land.example Kenyans wanted our land to be east afrika issue but we refused.we are strong that's why no country can disturb us like what we did to Malawians s.tz is surrounded by peaceful nations...except the drc , but lake tanganyika protects you
Tukiamua kunyakua hamtatuzuiaKama tpdf sio jeshi imara mbona nchi nyingi za ovyo zinatuzunguka lakini haziathiri amani yetu na pia sisi tuna ardhi kubwa na nchi nyingi za jirani wanataka hiyo ardhi lakini umeona nchi gani ikiletea shida tz.hii ni kwa sababu Tanzania ni nchi imara kiulinzi afrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
No Kenyan wants your land...except the few Kenyans on JF, the rest don't give a rat's ass about TZAlmost every countries that surround us want portion of our land.example Kenyans wanted our land to be east afrika issue but we refused.we are strong that's why no country can disturb us like what we did to Malawians s.
Sent using Jamii Forums mobile app