K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette

Mke wa kwanza wa Mengi alifariki 2006 na kuzikwa nyumbani kwa mengi machame kilimanjaro.

Kitaa Watu wanasema Mama aliondoka na nyuzi za Solo Guitar la " Dally Kimoko ". Je kuna ukweli wowote hapo Mkuu?
 

Hicho " Kifaa " kamwekea sehemu gani ya mwili? Watanzania kwa " mvua " tu hatujambo!
 
Huu uzi umenivutia sana
Hivi kumbe inawezekana kusifiwa kwa mazuri mwanzo mwisho
Sijui ni bahati, sijui anadeserve au ndo kismati au kibali....maana...
Yani hata hawa watu watatu walioponda ni kwa vile kila mtu kasifia
 
Hili jambo nami hujiuliza sana, Mengi alikua hakufunga ndoa au more money less masharti ya kiimani n vice versa?
Alikuwa na mke na anawatoto aliefariki ni mkubwa kuliko Jack wameachana
 

Hivi kumbe bado mpaka leo kuna Wanaume wanatongoza ki " analogue " hivyo?
 
Waliachana mke alikuwa mtata yule mama dah iko siku alimfukuza mzee akatoka nduki akaruka ukuta wa nyumba hata geti hakuliona.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ya kwel hayo au furahisha genge?
 
Jack hakuwa mtulivu hata kidogo..sema tu umepata alichotaka..ashachapwa sana na mtoto wa kingunge na wengine wengi...sasa hv ndio amepata alichokuwa anatafuta. Imebid atulie


Alikua anajiuza jmall casino huyo kylinn
 
Huwa naipenda sana crew yao inajielewa mno katika mamiss tanzania wanaojiheshimu lazima uwaweke jack,nancy,nasreem,and faraja huwa najiuliza swali mmoja hiv huyu miss wetu wa 2006 sepenga kwann hawaangalii hawa angalau aige hata ujuz uhusiano wa kimapenz wapo makin yeye kukicha kila leo kubadir wanaume akiigiza movie hazitoki matangazo kibao la maana hamna mwisho kahamia kukata mauno stejin loh ,,,hongera sana jack hakika wewe ni mtu makin
 
Huyu ndio alichagua fursa, yaani hata akiamua akae ndani anaangalia tv tu anauhakika wa kula bata hadi anakufa. Sio wale vinuka mkojo wanaopoteza muda kwa vitoto vikina Harmonize. We waache tu fainali uzeeni
Hehehehe wanapenda sifa na swaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…