Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Mchembe amewaasa Wananchi kuacha kuzusha maneno ya kuwa hospitali zimejaa na kusababisha wagonjwa kutofika ili kupatiwa matibabu
Profesa Mabula amesema hayo leo FebruarI 12, 2021 mkoani Arusha.
Tatizo letu ni siasa tumeweka mbele wanaosema corona inauwa watu wanasukumwa na siasa na wanaosema hakuna corona nao ni siasa,ila likitokea jambo ambalo litakuwa muhimu kuliko haya mabishano yao basi utasikia wanasema corona imepungua.