Wakati UNAFIKIRIA,..
...unafikiri UNAFIKIRIA jinsi UNAVYOKIFIKIRIA unachokifikiri?
Na kama kuna MISINGI ya jinsi ya KUFIKIRIA KITU,...
....labda unauhakika kila mtu anapatia jinsi ya kufikiria vizuri.
Wakati labda ni kweli MOJA YA MATUNDA YA FIKRA ZA BINADAMU kinamna!
Je, ni hili lidunia MKWECHE lenye maisha yafikirishayo?
MIE NAENDELEA kufikiri.....