K wa wakazi wa dar

Sio diproma,ni diploma.

Hivi lugha mbaya iliyotumika ni ipi hapa? Mbona Ladyheart ametumia lugha ya upole kabisa hapo!
 
Habari ni kwamba hizi nafasi ahh kumbe ni kwa watu wa dar pekee ndo inawahusu nisamehe nilikuwa nimwagike lakini nipo nje ya dar.Labda mpaka uniruhusu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…