Mkuu ni Kweli huo Ugonjwa wa Rheumatoid Arthritis Hauna dawa za Kizungu aka Dawa za Sumu za Ma-Hospitali. Ila huo Ugonjwa wako wa Rheumatoid Arthritis Unao dawa zetu za Asili ukihitaji nitafute kw awakati wako nipatekukutibia upate kupona.Habari wanajf naomba ushauri ninandugu yangu kapimwa akaambiwa anaugonjwa wa rheumatoid arthritis na kwa mjibu wa madactari niliowaulizia kuhusu huu ugonjwa wanasema huu ugonjwa hauna dawa ya kuponesha ila kutuliza tu hiyo hali , msaada tunamnusulu Vip huyu mtu mana saizi anamawazo Kweli. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko mkoa gani?Mkuu ni Kweli huo Ugonjwa wa Rheumatoid Arthritis Hauna dawa za Kizungu aka Dawa za Sumu za Ma-Hospitali. Ila huo Ugonjwa wako wa Rheumatoid Arthritis Unao dawa zetu za Asili ukihitaji nitafute kw awakati wako nipatekukutibia upate kupona.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
Si nimesha kupa contact zangu? nitafute kwa wakati wako.Uko mkoa gani?
DMARDs, such as methotrexate, hydroxychloroquine, leflunomide, and sulfasalazine, slow the progression of rheumatoid arthritis and are given to nearly all people with rheumatoid arthritis.Habari wanajf naomba ushauri ninandugu yangu kapimwa akaambiwa anaugonjwa wa rheumatoid arthritis na kwa mjibu wa madactari niliowaulizia kuhusu huu ugonjwa wanasema huu ugonjwa hauna dawa ya kuponesha ila kutuliza tu hiyo hali , msaada tunamnusulu Vip huyu mtu mana saizi anamawazo Kweli. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Dalili zake joint za kwenye mkono karibu na vidole, joint za magoti zinakaza pia kuvimba, anachemka na maumivu makali. Ametumia predinesolone inapunguza kwa mda mrefu inapunguza tu maumivu lkn hali iko vilevile.Anhaa pliz naomba uziseme dalili zake uyo mgonjwa (uzitaje symptoms zake)
Kwahiyo hizi dawa zinapunguza tu inflammation lakini zile complications kama damage ya vidole hazitampata?Aaanze na kutumia NSAiDs(naproxen or ibuprofen) kwaajili ya kupunguza Inflamation or kama ana ulcers atumie celecoxib,then cortical steroids(predinisolone)....then ndo amalizie na methotrexate,cycloiphosfamide
Ndio mkuu huo ugonjwa sio cured ila unakua treated kupunguza symptomsHabari wanajf naomba ushauri ninandugu yangu kapimwa akaambiwa anaugonjwa wa rheumatoid arthritis na kwa mjibu wa madactari niliowaulizia kuhusu huu ugonjwa wanasema huu ugonjwa hauna dawa ya kuponesha ila kutuliza tu hiyo hali , msaada tunamnusulu Vip huyu mtu mana saizi anamawazo Kweli. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu mida nitakutafuta mana jamaa kashanza hana amani kabisa
vipi mpango huu wa balozi wa cuba Humphrey polepole umejiungaHabari wanajf naomba ushauri ninandugu yangu kapimwa akaambiwa anaugonjwa wa rheumatoid arthritis na kwa mjibu wa madactari niliowaulizia kuhusu huu ugonjwa wanasema huu ugonjwa hauna dawa ya kuponesha ila kutuliza tu hiyo hali , msaada tunamnusulu Vip huyu mtu mana saizi anamawazo Kweli. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app