Kaazi kweli kweli

Aisee

NN....huyo mke aliyeenda kufumania, kapata kilichompeleka...yeye alivoambiwa 'nisubiri hapo hapo nje nitakukuta' alifikiri nini? Yaani tuseme angetegemea mumewe atoke ndani kikondoo tu na kujisalimisha?

Nadhani hii ilm ya namna ya kuishi na wenza inahitajika sana kwa watani zetu....wapi The Boss?
 
Aisay umenichekesha sheikh kachukua sh150,000 huyo ni sheikh au mnafiki tu.

Yani wewe ukiona mtu kavaa kanzur basi kisha kuwa sheikh?

Toka lini sheikh wakachukua pesa wake zao wakifumwa ugoni?

Utani pembeni ma sheikh hawaoii malaya...Kabla hajaoa anamchunguza benti yule up and down.

Mara nyingi sheikh akioa basi ana uhakika yule mwanamke anaye muoa, ni bent ambaye kalelewa na kufundishwa adabu.

Hivyio vi sheikh njaa si vihuni tu....We hutazami kama kamechukua pesa.

Sheikh hawajidhalilishi hata siku moja, na wake za masheikh mtaishia kuwatazama tu mana wanapata yote wanayo yahitajia kitadani....Sijawahi kusikia sheikh ambaye sheikh akauza karama yake.
 

Kwahiyo kosa ni la mke?
 
Wewe ni sheikh nini?

Haya hebu soma bandiko la Geka, bandiko namba 12.
Hapana mimi si sheikh mshikaji. mimi nikahuni huni tu kamtaani lakini niko speed kuelekea direction hizo siku za mbele.
 
Nashindwa kuelewa mtu kama huyo ameoa ili iweje.
Leo jioni tulikutana mahali marafiki wa3, ikatokea tunazungumzia watu kutoka nje ya ndoa, mwenzetu mmoja(ana mume na mtoto mmoja)akawa anatetea kuwa inasaidia kupunguza stress za ndani ya ndoa, mie nkamuuliza dini inaruhusu kucheat? Akasema hairuhusu, nkamwambia sasa huoni kama unatenda dhambi? Akanambia kwataarifa yako hakuna dhambi kubwa na ndogo, hivyo haoni tatizo kucheat... Nikamwambia sasa kwa nini umeolewa? Akanambia kuolewa kuna heshima yake... Labda mimi sijamwelewa... Hiyo heshima ya kuolewa wanayoisemaga sijajua ni ipi mpaka sasa.
 
Kwahiyo kosa ni la mke?

Kwa mtazamo wangu, kwenye hiyo clip kosa si la mke. Kosa ni la mume aliyemsaliti mkewe. Ila pia hatujui naye huyo mke kamsamehe mumewe mara ngapi na hatujui naye kacheat mara ngapi. Kwa vile ya mke hatuyajui basi tuende na hicho tunachokijua=tulichokiona.

Mume kumpiga mkewe si sawa hata kidogo. Lakini pia mimi sifagilii haya mambo ya confrontation ingawa natambua in the heat of the moment mtu huwezi kujua utafanya nini. Ila kwa ujumla sifagilii kabisa.

Lakini nina swali kwa wale wapendao uvumilivu. Huo uvumilivu kikomo chake ni kipi? Hadi mtu uchitiwe mara ngapi ndiyo useme 'sasa basi, nafungasha virago vyangu, kwa heri ya kuonana'?

Kikomo ni mara 1,2, 3, 10, au hakuna kikomo? Au kikomo ni hadi utakapoletewa li killer disease likuue? I just don't get it.

Once a cheater always a cheater. And a serial cheater is more likely to catch some disease and bring it to you. But as long as there are plenty of people who are more than willing to forgive and forget, cheating is here to stay.
 
Heshima wakati mtu anakukuruka nje ya ndoa?

Tatizo ni kwamba watu wanajaribu kudanganya ulimwengu na kujikuta wanajidanganya wenyewe on the process. Hapo ukimuuliza anaheshimika kwa lipi atakuambia kwa kuolewa, sasa muulize kama huyo anaetembea nae anamheshimu na mumewe au la. Ni ulimbukeni tu
 
Halafu kuna wale watu ambao wanapenda kuwa confront wale wanaocheat na wenza wao.

Sasa kwa mfano, mimi nina mke halafu huyo mke wangu anacheat na lijamaa. Mimi ninafahamishwa kuwa mke wangu anacheat halafu eti naenda kuli confront lijamaa.

Why? why? why? Why do people confront their partner's paramours? For what? Because as far as I'm concerned cheating is one of the ultimate disrespects. I am not gonna go confront a person who is cheating with my wife. Never ever.

And here is the reason why. If you cheat on me that means you have disrespected me. So why should I go and fight for someone who has disrespected me? It just ain't worth it. Yaani nitolewe ngeu kwa ajili ya mtu ambaye kanichiti?

Mweh! Kweli akili ni nywele nakila mtu ana zake.
 
Wakati mwingine haya mambo yanashangaza sana,mtu anacheat halafu anatafuta namna kuhalalisha huo ujinga!
 
mimi nadhani
kila mtu ana definition yake ya ndoa kutegemea na makuzi. Ndio yanayomjenga kuitathamini kwa kiasi gani
Ni kitu ufafunzwa na kuaminishwa tangu mdogo hadi unakuwa mtu mzima.

Sasa unapoolewa tabia ya mwenzi wako haitakufanya wewe ubadili mtizamo wako wa ndoa. Sikubaliani na kwamba mwenza kama ni cheater na mwenzie awe cheater kulipiza kisasi.
 
Wanaume ndio wamefanya wanawake wabadilike,wamechoka kulia kila siku peke yao ndani huku Mume anarudi asubuhi nayeye kwa vile ni binadamu anahitaji faraja.
 
Binafsi siamini mwanamke YOYOTE!Naamini kuwa wanaume ni afadhali kuliko wanawake!

we naona unachuki binafsi na wanawake sijaona ukicomment vizuri kuhusu wanawake sisemi wanawake hawacheat la wanacheat sana ila ni vigumu kuwajua kwa kuwa wanauwezo wa kuhandle mambo mengi kwa wakati mmoja
 
Wakati mwingine haya mambo yanashangaza sana,mtu anacheat halafu anatafuta namna kuhalalisha huo ujinga!

Je wale wanao rationalize kwamba ukiachana na huyo cheater utawaacha wangapi? Unasemaje kuhusu hao?
 
Sasa unapoolewa tabia ya mwenzi wako haitakufanya wewe ubadili mtizamo wako wa ndoa. Sikubaliani na kwamba mwenza kama ni cheater na mwenzie awe cheater kulipiza kisasi.

Kwa hiyo mwenza akiwa cheater cha muhimu na busara kufanya ni kuvumilia?
 
Kwa hiyo mwenza akiwa cheater cha muhimu na busara kufanya ni kuvumilia?
Unavumilia nini? Haina tofauti na ulivyosema huwezi kutolewa ngeu kwaajili ya mtu asiyekuheshimu. Kuvumilia ni aina nyingine ya ngeu.
 
@Nyani Ngabu
kama nilivyosema awali
kila mtu ana definition yake na priority zake katika ndoa kulingana na makuzi.

Mfano: kama nimekua katika familia ya baba mwenye wake wengi na bado anapiga mechi za nje na watoto tunafahamu, nikija kuolewa na mwenza akacheat, nitakasirika lakini haitanifanya niondoke sababu kwenye maisha indirectly nalikubali hilo kutokana na nilivyolelewa.

Kwa hiyo huwezi kusema akicheat mara 1, 2, 10 ndo anamwacha, inategemea katika vipaumbele vya ndoa cheating kwako ni dhambi kiasi gani.
 
Kama wewe ni sheikh na mke wako hafanyi basi shukuru mungu...ila bado sio kigezo cha kukufanya wewe uamini kuwa wake wote wa masheikh hawafanyi. Kucheat ni tabia ya mtu haijalishi kaolewa na sheikh au mchungaji, na ukumbuke tabia haina dawa.
Aaa c umeona na wewe nacho kisema umekisapoti.

Nilikuwa nasema wale ma sheikh kabla hawajaoa, wanamchunguza yule bent tabia yake.

Thanks a lot, wakumbushe hao tabia haina dawai, kama ni malaya ni malaya tu, na kama kalelewa vizuri yule bent basi nivigumu kushusha chupi chini hata uende kwa waganga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…