Wanaume ndio wamefanya wanawake wabadilike,wamechoka kulia kila siku peke yao ndani huku Mume anarudi asubuhi nayeye kwa vile ni binadamu anahitaji faraja.
Halafu kuna wale watu ambao wanapenda kuwa confront wale wanaocheat na wenza wao.
Sasa kwa mfano, mimi nina mke halafu huyo mke wangu anacheat na lijamaa. Mimi ninafahamishwa kuwa mke wangu anacheat halafu eti naenda kuli confront lijamaa.
Why? why? why? Why do people confront their partner's paramours? For what? Because as far as I'm concerned cheating is one of the ultimate disrespects. I am not gonna go confront a person who is cheating with my wife. Never ever.
And here is the reason why. If you cheat on me that means you have disrespected me. So why should I go and fight for someone who has disrespected me? It just ain't worth it. Yaani nitolewe ngeu kwa ajili ya mtu ambaye kanichiti?
Mweh! Kweli akili ni nywele nakila mtu ana zake.
Kuna maneno mengi sana matamu watu wanayatumia kuhalalisha kilichoharamu...yote na yote ni kwamba wanasutwa na nafsi zao ndio mana wanatafuta maneno ya kujipoozea...Heshima wakati mtu anakukuruka nje ya ndoa?
Tatizo ni kwamba watu wanajaribu kudanganya ulimwengu na kujikuta wanajidanganya wenyewe on the process. Hapo ukimuuliza anaheshimika kwa lipi atakuambia kwa kuolewa, sasa muulize kama huyo anaetembea nae anamheshimu na mumewe au la. Ni ulimbukeni tu
Unavumilia nini? Haina tofauti na ulivyosema huwezi kutolewa ngeu kwaajili ya mtu asiyekuheshimu. Kuvumilia ni aina nyingine ya ngeu.
@Nyani Ngabu
kama nilivyosema awali
kila mtu ana definition yake na priority zake katika ndoa kulingana na makuzi.
Mfano: kama nimekua katika familia ya baba mwenye wake wengi na bado anapiga mechi za nje na watoto tunafahamu, nikija kuolewa na mwenza akacheat, nitakasirika lakini haitanifanya niondoke sababu kwenye maisha indirectly nalikubali hilo kutokana na nilivyolelewa.
Kwa hiyo huwezi kusema akicheat mara 1, 2, 10 ndo anamwacha, inategemea katika vipaumbele vya ndoa cheating kwako ni dhambi kiasi gani.
Kwa hiyo mwenza akiwa cheater cha muhimu na busara kufanya ni kuvumilia?
Kuna maneno mengi sana matamu watu wanayatumia kuhalalisha kilichoharamu...yote na yote ni kwamba wanasutwa na nafsi zao ndio mana wanatafuta maneno ya kujipoozea...
sio kuvumilia
lakini kuna vitu vingine unaweza ishi navyo
havikunyimi usingizi
wanawake wengine wanawaacha waume zao sababu hawasapoti familia kifedha, wengine wanawabeba ivoivo
je ukioa mwanamke ambaye hazai utamwacha?
Wapo wengine wanawaache wenzi wao sababu tu hawazai wengine hawaachi
inategemea na wewe kwenye definition yako ya ndoa hilo kosa unalipa kipaumbele gani
Hmmm basi wewe utakuwa uko tofauti na 'mademu' wengi wa JF! Hapo kwenye 'mademu' Lizzy atanifinya lol.
sio kuvumilia
lakini kuna vitu vingine unaweza ishi navyo
havikunyimi usingizi
wanawake wengine wanawaacha waume zao sababu hawasapoti familia kifedha, wengine wanawabeba ivoivo
je ukioa mwanamke ambaye hazai utamwacha?
Wapo wengine wanawaache wenzi wao sababu tu hawazai wengine hawaachi
inategemea na wewe kwenye definition yako ya ndoa hilo kosa unalipa kipaumbele gani
Aluu lugha zingine we wacha tu, hapo unaweza kudhani kitu kipo ndani, na demu kakin'gan'gania.mi hiyo ya kumpiga mwanamke ndo kitu ambacho kinaniingia sana..
maisha bana halafu utaona huyo mwanake haondoki .
Haya omba msamaha haraka. . . lolz.
mi hiyo ya kumpiga mwanamke ndo kitu ambacho kinaniingia sana..
maisha bana halafu utaona huyo mwanake haondoki . saa nyingine
ndoa hazina faida kwakweli..
Halafu kuna wale watu ambao wanapenda kuwa confront wale wanaocheat na wenza wao.
Sasa kwa mfano, mimi nina mke halafu huyo mke wangu anacheat na lijamaa. Mimi ninafahamishwa kuwa mke wangu anacheat halafu eti naenda kuli confront lijamaa.
Why? why? why? Why do people confront their partner's paramours? For what? Because as far as I'm concerned cheating is one of the ultimate disrespects. I am not gonna go confront a person who is cheating with my wife. Never ever.
And here is the reason why. If you cheat on me that means you have disrespected me. So why should I go and fight for someone who has disrespected me? It just ain't worth it. Yaani nitolewe ngeu kwa ajili ya mtu ambaye kanichiti?
Mweh! Kweli akili ni nywele nakila mtu ana zake.
I guess you are right about that. To some getting cheated on is not an issue at all. And that's the beauty of life. We are all different in all sorts of different ways.
Shamahanyi shanya Liddhy. Naomba ushinifinye.
kwa uzoefu wangu wa mambo haya wengi wanaosema wakichitiwa wanasepa ndio ving'ang'anizi haswa tena hawathubutu kuachana, utamuuliza vipi si ulisema huwezi utasikia we acha tu.....