Kaazi kweli kweli

hahahahahaha lol umenifanya ni cheke lol..
usifanye kazi ninayoifanya sasa hahahaha lol
"unaijua" hutakula mwezi lol

Hahahaha ile nadhani naweza nikapiga moyo konde. Hii ya Ewwww naigopa na kuiogopa, yani hua naona kama vile sio safe.
 

hapo bold....sawa tunakubaliana

hapo pengine, ni kama umeshajua 'kutabiri' maana ukifikiria zaidi utapata sababu lukuki zaidi ya 'kulewa'
 
Hahahaha ile nadhani naweza nikapiga moyo konde. Hii ya Ewwww naigopa na kuiogopa, yani hua naona kama vile sio safe.

hahahahah haya bana ..
hiyo ni normal reaction kwa hichi kitu ...
 
hapo bold....sawa tunakubaliana

hapo pengine, ni kama umeshajua 'kutabiri' maana ukifikiria zaidi utapata sababu lukuki zaidi ya 'kulewa'
Binafsi ningekua najua hizo sababu nisingeuliza, kama hujali naomba unifumbue macho walau kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…