Uwiii euwii yeuwiiiEbwana wanaJF Mzuka!
Napenda anavyochangia humu huyu mwanajamvi mwenzetu. Yani short and clear. Uchangiaje wake utakuwacha hoi na hatumii sentensi ndefu. Utaona Sawa... Aisee.. Duh.. Ndio.. Haya... Inasikitisha... Kasheshe... tufanyeje.. Tumekwisha.. Hapana.. Tumekusikia
Ila msela pisii
jamaa sijui hajui kiswahili au vpEbwana wanaJF Mzuka!
Napenda anavyochangia humu huyu mwanajamvi mwenzetu. Yani short and clear. Uchangiaje wake utakuwacha hoi na hatumii sentensi ndefu. Utaona Sawa... Aisee.. Duh.. Ndio.. Haya... Inasikitisha... Kasheshe... tufanyeje.. Tumekwisha.. Hapana.. Tumekusikia
Ila msela pisii
Mkuu umenikumbusha, BAK alitoweka jamvini dakika za mwishoni kabla ya uchaguzi mkuu, tuliwasiliana sana sana hapa jamvini ila ghafla hakusikika tena hadi leo, nimejaribu kum-mention hapa mara kibao sana ila naona kimya mno. Kuna haja ya kufahamiana at least na mtu mmoja au wawili ambao ni active member hata ukipata shida tujue na namna ya kusaidiana, mwaka jana/juzi kuna memba mwenzetu alipata ajali Tanga akalazwa kwa muda mrefu sana hadi alipopona ndio alirudi hapa jamvini.... Invisible hebu saidia
Dah kweli hata Mimi simuoni jamaa yangu BAK muda sasa
Ahaa!🙂Ebwana wanaJF Mzuka!
Napenda anavyochangia humu huyu mwanajamvi mwenzetu. Yani short and clear. Uchangiaje wake utakuwacha hoi na hatumii sentensi ndefu. Utaona Sawa... Aisee.. Duh.. Ndio.. Haya... Inasikitisha... Kasheshe... tufanyeje.. Tumekwisha.. Hapana.. Tumekusikia
Ila msela pisii
Copenhagen DN umenishutua lakini!!Ebwana wanaJF Mzuka!
Napenda anavyochangia humu huyu mwanajamvi mwenzetu. Yani short and clear. Uchangiaje wake utakuwacha hoi na hatumii sentensi ndefu. Utaona Sawa... Aisee.. Duh.. Ndio.. Haya... Inasikitisha... Kasheshe... tufanyeje.. Tumekwisha.. Hapana.. Tumekusikia
Ila msela pisii
Inashangaza.....Mkuu umenikumbusha, BAK alitoweka jamvini dakika za mwishoni kabla ya uchaguzi mkuu, tuliwasiliana sana sana hapa jamvini ila ghafla hakusikika tena hadi leo, nimejaribu kum-mention hapa mara kibao sana ila naona kimya mno. Kuna haja ya kufahamiana at least na mtu mmoja au wawili ambao ni active member hata ukipata shida tujue na namna ya kusaidiana, mwaka jana/juzi kuna memba mwenzetu alipata ajali Tanga akalazwa kwa muda mrefu sana hadi alipopona ndio alirudi hapa jamvini.... Invisible hebu saidia
Nilijua ni mimi tu ninaetatizwa na uadimikaji wa huyu ndugu. !
Uongozi wa Jf usaidia kiintelijensia kujua aliko BAKNilijua ni mimi tu ninaetatizwa na uadimikaji wa huyu ndugu. !
Waambaki vaiUwiii euwii yeuwiii
blaza unaniua sasa....???Haha Kabanga huwa ananifurahisha sana .....siku akiandika sana hazidi sentensi mbili
unamaanisha ndefu kama za jamaa yako kahtaan?Yule mkuu sijawai kuona comments yake ndefu ata siku moja