Kabanga wa JF bana

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Ebwana wanaJF Mzuka!

Napenda anavyochangia humu huyu mwanajamvi mwenzetu. Yani short and clear. Uchangiaje wake utakuwacha hoi na hatumii sentensi ndefu. Utaona Sawa... Aisee.. Duh.. Ndio.. Haya... Inasikitisha... Kasheshe... tufanyeje.. Tumekwisha.. Hapana.. Tumekusikia

Ila msela pisii
 
Uwiii euwii yeuwiii
 
Yule mkuu sijawai kuona comments yake ndefu ata siku moja
 
Ni vizuri,tunatofautiana kwa vingi tu,inapendeza kila mtu akawa na mtindo wake.
 
Tafadhali anayejua sababu za ukimya wa BAK humu JF anieleze hata pm. CC Paw
 
jamaa sijui hajui kiswahili au vp
anaweza akawa mtu wa Congo
 
Tafadhali anayejua sababu za ukimya wa BAK humu JF anieleze hata pm. CC Paw
Mkuu umenikumbusha, BAK alitoweka jamvini dakika za mwishoni kabla ya uchaguzi mkuu, tuliwasiliana sana sana hapa jamvini ila ghafla hakusikika tena hadi leo, nimejaribu kum-mention hapa mara kibao sana ila naona kimya mno. Kuna haja ya kufahamiana at least na mtu mmoja au wawili ambao ni active member hata ukipata shida tujue na namna ya kusaidiana, mwaka jana/juzi kuna memba mwenzetu alipata ajali Tanga akalazwa kwa muda mrefu sana hadi alipopona ndio alirudi hapa jamvini.... Invisible hebu saidia
 
Ahaa!🙂
 
Copenhagen DN umenishutua lakini!!
Ahsante
 
Inashangaza.....
 
Haha Kabanga huwa ananifurahisha sana .....siku akiandika sana hazidi sentensi mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…