INAUZWA Kabati la Milango mitatu Mninga (Mbao ngumu) linauzwa

INAUZWA Kabati la Milango mitatu Mninga (Mbao ngumu) linauzwa

Mninga mixer ni ipi mkuu
Bei sio mbaya ila hiyo mixer ndio imenichanganya
 
ila hiyo mistari stari siyo mninga huo, labda hiyo mixer yako.

Most likely ni mtiki
 
Mninga mixer ni nini???? Elezea umexiwa na nini????
 
Hata sio Mninga, acha kudanganya hapa.
Afu wee kada wa mboga mboga, unauza kabati buku 7 hupewi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kitu haukijui ni bora ukakaa kimya.

Heshimu biashara za watu.
ninalo kabati la mninga, kitanda na dressing table za mvule na milango yangu yote ya mitiki.

Narudia, huo wenye mistari hivyo siyo mninga. Sijavunja biashara ya mtu mimi.
 
Back
Top Bottom