wafipa na sasa wameanza wamakonde kurudisha wake zao Ntwara wao wakibaki na hawara Dar
afadhali wachaga wao wanajua ukiolewa lazima mzee moshi akapime uwezo wako unakaa kule na matokeo yake wengine wamezaliwa na babu zao huku mttoto akibakia kutoa jina....nyie mnaoolewaa uchagani jiandaen na hili CHK D huko Kiraracha
Huku tukiwa katika muendelezo wa kufunda vijana wanaotaka kuoa Jf leo tunakuja na swali muhimu zaid kuna ndoa nyingi tu zinakufa kwa namna moja ama nyingine kutokana na mwenza kutopata matarajio alioyafikiria so si haba leo kuja kupeana wenye kaufahamu kabila gani linamfikisha mwenza shereheni
bila kulalamika kwa wakweze!!kazi kwenu mliooa tuwasaidie vijana wasije juta