Kabila la Wairaki tufahamiane hapa

Habarini ndugu jamaa na marafiki mliopo humu JF...
Mimi kijana wenu nmegundua kuwa kabila letu wairaki kama tupo wachache sana hapa nchini...
Ningependa tufahamiane humu vizuri....
Kuraa
 
Huu Uzi mzuri Ila wazinzi wengi watajaa hapa na imagination zao.
 
Moka-moja

mbiki-mbili

nipo sawa eti [emoji23][emoji23]
 
Ni wazuri wa sura both men and women...wanawake wao ni wakali but ni rahisi kuwa##@$...ukimtongoza akikuambia staki wewe endelea tu...coz mpaka unakula mzigo ataendelea kukuambia staki bhana da' ....binafsi huwa siwapendi sanaa coz ni wabaguzi...pia hawana huruma kabisa..nadhani kama kuna mwalim amekufundisha ambaye ni muiraq (mmbulu) utakubaliana na mimi sijui kwanini wengi ni walimu...huwa wanadharau pia kama wana nafasi....kizuri kutoka kwao wanajikubali nadhani kwa vile hawawezi kujificha kimuonekanao isipokua hakuna atakayekuambia kwao ni mbulumbulu au balang' sijui nini au dongo beshi wengi watakuambia kwetu karatu,babati, mto wa mbu au manyara....haya ni maoni yangu sio lazima iwe kweli ni jinsi nilivyowahukumu binafsi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…