Kabila la "WAIRAQ" kutoka "ARUSHA"

Status
Not open for further replies.

Usemalo ni kweli kabisa,
Zaidi ni wavivu hawapendi kujishughulisha kabisa!
Yaani kama wazaramo kwa uvivu!
 
Usemalo ni kweli kabisa,
Zaidi ni wavivu hawapendi kujishughulisha kabisa!
Yaani kama wazaramo kwa uvivu!

Dah mmenitisha, but mi ndo nimefall hivo, kwani cwezi kumbadilisha kitabia?
 
Mh tabia ya mtu haibebwi na kabila dawa ni kungoa visiki vya kwao kwa maombi happy ndoa ndao che kake umependa pambania
 
sASA kijana kapata negative nyingi kuliko positive. Mpeni direction aelekee wapi sasa? au mkoa gani kila mmoja amufagilie dadaake.
 
pambana ngoa visiki vya kikabila go oa nini chajalisha umependa
 
Mayai mayai................. Kuna ya kuku wa kienyeji, wa kisasa, ya kanga, mbuni.................

Ni ngumu kuweka kabila zima kwenye kapu moja....sample size iwe ya kutosha.
 
Dah mmenitisha, but mi ndo nimefall hivo, kwani cwezi kumbadilisha kitabia?

Miye nimeona mwiraqw wapo ambao ni wazuri depending na wewe unavyomhandle. Mwombe Mungu kwanza, Roho mtakatifu atakuongoza kumpata mke mwema.
 
Miruzi mingi humpoteza....tabia sio kilema kwani kama analolote ambalo wewe hupendi mtarekebishana.
 
Mkuu kama ni Wakushi Mbona unanifanya nikapime DNA Naweza jikuta na mimi ni Mkushi na Kushi Walichukuliwa na kupelekwa Israel, na bado wanahitajika kwa Sana kwani walipewa haki zote kama Raia wengine wa Israel... Wacha nikapime DNA Kwa Muda nilikuwa nataka Nitafute Asili yangu Wapi sasa umenipa mwongozo nikijikuta na DNA Zinazofanana na Jew nawakimbieni kwenye Nchi yenu....
 
Mimi namtafuta mmoja wa kuoa, sijui mpaka niende huko Hanangi ndio nimpate?.

Karibu sana Yego..tumejaa tele kuanzia Manyara, Karatu, Mbulu, Rhotia, Hydom,Dongobesh, Basotu, Katesh, Endasaki, Mamaisara, Dareda etc.....ushindwe wewe tu!!

Umalaya ni tabia ya mtu..sura, nywele,rangi tumejaaliwa..miguu no comments🙂) Ukikutana na mie usijechanganyikiwa, ha ha!!
 

Hawana ubaguzi, wewe inaelekea ulikua unajishtukia tu. au wewe ndio ulikuwa unawabagua.
 

Si kweli kwamba kila wakati samaki mmoja akioza basi wote wameoza. Hata makabila mengine wapo wabaya na wazuri.
 
Ngoja memba mmoja maarufu humu JF kwa jina ni Slaa, yeye ni Mu-Iraq atakuja kupa habari zao kamili, tena huyu ni kiongozi wa chadema, tegemea majibu mazuri kutoka kwake.

Haya Dokta (wa kanoni) lete habari.
uzee unakusumbua
 

kuna wasifu wa kabila siku hizi kweli?
 

Ubaguzi ni kitu ambacho hatuna kabisa kama jamii .. please kama umeamua ku judge basi
Judge kila mtu kivyake usituchanganye ..
Everyone is different ..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…