Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,564
Habarini.
Kwa hakika Tumebolonga sana kwenye hii Tatal African Cup of Nations.
Tuna Point 0 na Magoli -6 tunafuatiwa na Burundi Point 0 na Magoli -5. Pamoja na kua Mechi bado hazijaisha kwa Makundi mengine hamna atakae vunja rekodi yetu ya kichapo.
Tujipange vizuri Next Time. Hii ni Aibu.
Kwa hakika Tumebolonga sana kwenye hii Tatal African Cup of Nations.
Tuna Point 0 na Magoli -6 tunafuatiwa na Burundi Point 0 na Magoli -5. Pamoja na kua Mechi bado hazijaisha kwa Makundi mengine hamna atakae vunja rekodi yetu ya kichapo.
Tujipange vizuri Next Time. Hii ni Aibu.