Habarini.
Kwa hakika Tumebolonga sana kwenye hii Tatal African Cup of Nations.
Tuna Point 0 na Magoli -6 tunafuatiwa na Burundi Point 0 na Magoli -5. Pamoja na kua Mechi bado hazijaisha kwa Makundi mengine hamna atakae vunja rekodi yetu ya kichapo.
Tujipange vizuri Next Time. Hii ni Aibu.