Kabla hujaagiza gari, pitia hapa kujua gharama kamili za ushuru na bandarini

Asee kumbe jamaa huwa wanatupiga sana
 
Hivi hii nchi ina shida gani? Inakuwaje gharama za kutoa Gari zinazidi thamani ya Gari lenyewe? Absurd

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TRA noma kodi milioni 11wanatengeza wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Model:VANGUARD
Year of Manufacture:2010
Engine Capacity:2001 - 2500 CC
Customs Value CIF (USD):8,631.00
Excise Duty due to Age (USD):1,618.31
Total Import Taxes (TSHS):17,333,323.66
Vehicle Registration Fee (TSHS):500,000.00
TOTAL TAXES (TSHS):17,833,323.66

CIF$7,614
(Approx. Exchange Price: TSh 17,626,405)
Duh huu mgari kiboko ngoja aje Semsella na mm nashangaa mbona gari haijafiisha iaka 10 bado inachajiwa Excise Duty due to age? wakati nikijua walishasamehe hii kitu
Duh kabla ya kuitoa Bandarini na kina MAGARI7 wanadai jumla 35,459,728.66
 
Nissan Leaf EV Auto 5 dr ya 2013 naomba unipe ushuru ni ngapi mkuu
Hii ni ya umeme

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Aweke kikokotoo halafu yeye akale wapi???hii ni project ya mtu na anategemea kupiga hela yake saaaafi!
Msipende kuharibu thread za watu...jamaa kaamua kuwasaidia watu...kama unataka kikokotoo cha t.r.a mbona simple tu ingia kwenye website ya t.r.a but kikokoto cha t.r.a kuna gharama huwezi ziona utaona charges za t.r.a tu
 
Kutafuta kodi huwa nachukua CIF ya gari nazidisha mara 2.5 just incase.
Kama gari inauzwa 10M. Basi prohection ya kodi naweka 25M.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hawa TRA bado kikokotoo chao hakieleweki kinaweza kukubadilikia wakati wowote, kumbuka walisema zisiingizwe gari zilizozidi miaka 10 ikiwa hivyo zitachajiwa zaidi
hii kodi yao ni mara 2 ya manunuzi hata kwa gari la zaidi ya miaka 20
HAPA
kwanini kuna tofauti ya ukokotoaji wa magari wakati ni aina moja, mwaka, cc ya injini petrol, na yote yanatoka Japan mfano
Harrier ya mwaka 2000 (ushuru ni 7,664,094/ na alteza ya 2000 ni 4,452,927/)
 
Hivi hapa bongo hamna yadi inayouza magari mapya kwa gharama zinazoshabihina na hizo za nje..ili kuepusha hayo mambo ya bandarini sijui..
Sent using Jamii Forums mobile app
hata kwenye hizo Yard ushuru wa TRA upo palepale
Labda ununue kwa mtu ambaye tayari keshalipia huo ushuru wa kuingiza Nchini na kapewa namba lakini usithubutu kuingiza hata gari la bure au zawadi, ili lisajiliwe lazima uingie kikokotoo hicho na ulipe
kama Harrier ni ya bure lazima ulipie ushuru milioni 7
 
gharama za bandari na shipping line hazizidi hata laki 5!
 
gharama za bandari na shipping line hazizidi hata laki 5!
"Ndakilawe, post: 31119012, member: 47759"]
Nenda kwenye TRA calculator
MUWE WAKWELI wakati watu km MAGARI7 kaweka bayana na evidence na wewe tushushie za Kampuni yako au uwezo wako wa kutoa Vanguard, Harrier au Land Cruiser maana nikisema Coster hizo CBM na VAT nina uhakika ni zaidi ya laki 5 labda km Vits na kina Opa ndio laki 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…