Kabla hujachumbia wasiliana na bodi ya mikopo

ladson mshana

Member
Joined
Dec 23, 2015
Posts
14
Reaction score
6
Taadhari kabla hujapata hasara ukiwa kama kijana kabla hujaoa msichana msomi aliyesoma kwa fedha za mkopo wasiliana na bodi ya mikopo ili kujua msichana unaemuoa ana deni kiasi gani asije kukutia hasara ukawa mtumwa wa bodi ya mikopo ni ushauri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…