Kabla hujaoa, Tazama tafadhali...

Kabla hujaoa, Tazama tafadhali...

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,253
Woman has 200 orgasms a day.
Sarah, 24, suffers from Permanent Sexual Arousal Syndrome


orgasmnew_280x450_2251a.jpg


PRETTY Sarah Carmen is a 200-a-day orgasm girl who gets good, good, GOOD vibrations from almost anything
 
Miaka ya themanini mwishoni kule TMK karibu na Pile bar kulikuwa na Mwanaume wa namna hiyo kutwa mara tatu na haijulikani alikuwa anapiga goli ngapi. hali hiyo ilisababisha kuwa ankimbiwa na wanawake.

Hivyo mi nadhani ni bora kabla ya kuoana, mkacchukua tahadhari ili ndoa isije kuwa ndoana, na wala sio wanaume tu, kwani hali hiyo ni matatizo yanayowakuta watu bila kujali jinsi (sex).
 
Woman has 200 orgasms a day.
Sarah, 24, suffers from Permanent Sexual Arousal Syndrome




PRETTY Sarah Carmen is a 200-a-day orgasm girl who gets good, good, GOOD vibrations from almost anything

Huyo muache tu na umuombee maana hakuomba aisee, hata akitembea tu anapata kamoja. naskia kuna lesion kwenye ubongo, wanaiita singulate gyrus kama sikosei, ni disorder inayoongeza hamu ya nanihii!!

Kaazii kwelikweli ukioa kama huyo
 
mna mawasiliano nae huyo mtu, kuna jamaa yangu nahisi wataendana sana na huyo
 
mna mawasiliano nae huyo mtu, kuna jamaa yangu nahisi wataendana sana na huyo

Ha ha haaaaaaaaaaaaaa, mkuu huyo wala hahitaji mwanaume, maana yeye kiku chochote tu kinamfikisha sasa akikutana na mwanaume anaweza zimia. LoL!
 
Huyo muache tu na umuombee maana hakuomba aisee, hata akitembea tu anapata kamoja. naskia kuna lesion kwenye ubongo, wanaiita singulate gyrus kama sikosei, ni disorder inayoongeza hamu ya nanihii!!

Kaazii kwelikweli ukioa kama huyo

MTM,

Nimekubali mwanasayansi mwenzangu...eti hata akitembea anapata kamoja..duh!BTW spelling yake ni Cingulate gyrus.
 
MTM,

Nimekubali mwanasayansi mwenzangu...eti hata akitembea anapata kamoja..duh!BTW spelling yake ni Cingulate gyrus.

Usiombe dhahma lile likushukie ewe mwanaume, unaweza fakamia hadi kuku!!! I hope huyo mama anatembea na pampers na anapambana sana na dehydration, maana ile hanjam si inaambatana na maji kupotea japo kwa matone!!???
 
Mie heading na maelezo ndani sijaelewa hata kidogo


Ni kwamba huyo mwanamke ana uwezo wa kufikia kilele mara 200 kwa siku.

Kwahiyo kama mwanaume ni mchovu, atakuponda kinyama.
Sa kwa mtu kama mimi ambae nikipata ki1 au vi2, niko choka sijui itakuwaje! lol!
 
Ni kwamba huyo mwanamke ana uwezo wa kufikia kilele mara 200 kwa siku.

Kwahiyo kama mwanaume ni mchovu, atakuponda kinyama.
Sa kwa mtu kama mimi ambae nikipata ki1 au vi2, niko choka sijui itakuwaje! lol!

Hapo itabidi tuunganishe nguvu za wanamaombi chini ya mchungaji wetu. Ab-Titchaz, Contacts zake please. Worth trying.
 
Hamna shida yeyote hapo itabidi uanze nae mbali mpaka uhakikishe amefikisha 199 ,ila sijapata maelezo zaidi hizo mia mbili ni kama zile selasininasita za nguruwe ? Au inabidi kila baada ya muda ,yaani zinakuja 200 kwa pamoja au kila baada ya masaa mananenanusu ndio anaweza kuongeza number ?
 
Huyo muache tu na umuombee maana hakuomba aisee, hata akitembea tu anapata kamoja. naskia kuna lesion kwenye ubongo, wanaiita singulate gyrus kama sikosei, ni disorder inayoongeza hamu ya nanihii!!

Kaazii kwelikweli ukioa kama huyo
eti hata akitembea tu anapata kamoja faster faster....
 
Usiombe dhahma lile likushukie ewe mwanaume, unaweza fakamia hadi kuku!!! I hope huyo mama anatembea na pampers na anapambana sana na dehydration, maana ile hanjam si inaambatana na maji kupotea japo kwa matone!!???
Waumini husema: Be thankful for what you have got !!
 
Ni kwamba huyo mwanamke ana uwezo wa kufikia kilele mara 200 kwa siku.

Kwahiyo kama mwanaume ni mchovu, atakuponda kinyama.
Sa kwa mtu kama mimi ambae nikipata ki1 au vi2, niko choka sijui itakuwaje! lol!

Usiwe na hofu PJ, tumeambiwa kwamba yeye (mwanamke) anauweza wa kushambulia mara 200 kwa mwanamume hii sio shida kwamba wewe unaweza kukomaa na mechi moja ndeefu yeye akamaliza hesabu yake.
Ingawa ofcourse msuli unatakiwa.
 
Ni kwamba huyo mwanamke ana uwezo wa kufikia kilele mara 200 kwa siku.

Kwahiyo kama mwanaume ni mchovu, atakuponda kinyama.
Sa kwa mtu kama mimi ambae nikipata ki1 au vi2, niko choka sijui itakuwaje! lol!

Mkuu huyo demu ni noma yani ukimpata huyo inabidi upigwe dripu ya glucose nonstop la sivyo ataua bendi!

Ila nimeona kama wanasema anapata arousal from anything with vibration, ukishindwa kazi inabidi utumie nyenzo zingine ha ha haaaaa...
 
Back
Top Bottom