Kabla hujawa mzazi, kuwa tayari kuwa mzazi

Kabla hujawa mzazi, kuwa tayari kuwa mzazi

WLF Tanzania

Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
38
Reaction score
22
Wanabodi,

Imekuwa kawaida sasa kwa wazazi kuwa kazini muda mwingi zaidi ya nyumbani. Kinachofuata ni kupishana na watoto na kuacha jukumu la malezi kwa dada wa kazi.

Mtoto anahitaji malezi ya mama na baba. Kumpeleka shule nzuri na kumnunulia nguo nzuri bila kuwepo katika maisha yake haimsaidii mtoto.

Ni vizuri kujiandaa kwa asilimia zote na kujua jinsi utakavyomkuza mtoto wako kabla ya kumleta duniani. Jiandae kumpa malezi bora na kuwepo maishani mwake asilimia mia.

Au mnasemaje wadau?
 
You have said it all! Malezi yetu yako very formal hatuna muda wakuwasoma watoto wetu wala kuchunguza what they want to be. Matokeo yake tunawalea wawe kama tunavyotaka sisi na siyo kuwasaidia wawe who they want to be!




Wanabodi,

Imekuwa kawaida sasa kwa wazazi kuwa kazini muda mwingi zaidi ya nyumbani. Kinachofuata ni kupishana na watoto na kuacha jukumu la malezi kwa dada wa kazi.

Mtoto anahitaji malezi ya mama na baba. Kumpeleka shule nzuri na kumnunulia nguo nzuri bila kuwepo katika maisha yake haimsaidii mtoto.

Ni vizuri kujiandaa kwa asilimia zote na kujua jinsi utakavyomkuza mtoto wako kabla ya kumleta duniani. Jiandae kumpa malezi bora na kuwepo maishani mwake asilimia mia.

Au mnasemaje wadau?
 
Niseme mini tena na ushasema na Mimi ndiye mama kijacho
 
Back
Top Bottom