Kabla hujawaza kwenda India kutibiwa Moyo

Kabla hujawaza kwenda India kutibiwa Moyo

Upendomia

Senior Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
121
Reaction score
13
Wakuu,

Kama unasumbuliwa au una ndugu au rafiki anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo na matatizo mengine katika Moyo kama vile moyo kuwa mkubwa, moyo kuwa mdogo, moyo kuwa mpana, mafuta mengi katika moyo, maumivu katika moyo na kadharika onana na mimi kwani nimeshawasaidia wengi wenye tatizo hilo kwa kutumia dawa zangu za asili.

Kwa maelezo zaidi na zaidi njoo tuonane, nipigie kwa namba hii 0714755582


Kadharika huduma yangu kwa wale wenye matatizo yafuatayo bado inaendelea:

·Wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto). Kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili, pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama matokeo ya kutumia madawa ya kuzuia ujauzito kwa muda mrefu au kwa wale ambao hawapati ujauzito sababu ya kutoa mimba mara kwa mara.

·Watu wazima waliopalalaizi, nawafanyia mazoezi (masaji) na kupewa dawa zinazotokana na vyakula vya asili.

·Watoto wadogo waliozaliwa na ulemavu nao nawafanyia mazoezi na kupewa dawa asilia.

·Wenye magonjwa ya kisukari, vidonda vya tumbo, asthma/pumu, taifodi, malaria sugu kwa watoto na watu wazima, uzito/unene kupita kiasi na magonjwa mengine.

NIPO DAR ES SALAAM LAKINI NAHUDUMIA PIA WALIOKO MIKOANI.

Kwa maelezo zaidi na zaidi njoo tuonane, nipigie kwa namba hii 0714755582
 
Tumesikia, ila kuamini inakuwa tabu. Mmeamua ku-captalise kwenye matatizo yetu, mfano babu wa Samunge.
 
Tumesikia, ila kuamini inakuwa tabu. Mmeamua ku-captalise kwenye matatizo yetu, mfano babu wa Samunge.

Mkuu umeongea ukweli, huyu dada ni miongoni mwa matapeli tu mi nilimuelekeza mtu pale najuta, kwani alikuwa na tatizo lake akaenda pale akapewa dawa tena kwa bei ya sh.80,000, he kuanza kuitumia tu mala meno aliyokuwa ameyaziba miaka kama 5 iliyopita zile gundi zote zikayeyuka!!!! kumuuliza anadai eti mbona hukuniambia!!! wewe muuza d
awa ndio unatakiwa ujue side effects za dawa zako.hadi leo jamaa anajua kuwa nilimtosa, ikabidi aende tena kuziba meno yake kwa gharama kubwa.Hili ni angalizo tu kwani hapa tunapeana taarifa, unapofanikiwa huna budi kusema na pale yanapokukuta lazima utoe angalizo kwa wengine
 
Mkuu umeongea ukweli, huyu dada ni miongoni mwa matapeli tu mi nilimuelekeza mtu pale najuta, kwani alikuwa na tatizo lake akaenda pale akapewa dawa tena kwa bei ya sh.80,000, he kuanza kuitumia tu mala meno aliyokuwa ameyaziba miaka kama 5 iliyopita zile gundi zote zikayeyuka!!!! kumuuliza anadai eti mbona hukuniambia!!! wewe muuza d
awa ndio unatakiwa ujue side effects za dawa zako.hadi leo jamaa anajua kuwa nilimtosa, ikabidi aende tena kuziba meno yake kwa gharama kubwa.Hili ni angalizo tu kwani hapa tunapeana taarifa, unapofanikiwa huna budi kusema na pale yanapokukuta lazima utoe angalizo kwa wengine

Hizo ni tuhuma tu na mimi ninazo kumbukumbu za wagonjwa wote ninaowatibu sina historia ya mgonjwa huyo, ila wewe hilo jina lako nilikuona hata kwenye ule uzi wangu mwingine, una shida tu binafsi na mimi na wala hutafanikiwa
 
Wakuu,

Kama unasumbuliwa au una ndugu au rafiki anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo na matatizo mengine katika Moyo kama vile moyo kuwa mkubwa, moyo kuwa mdogo, moyo kuwa mpana, mafuta mengi katika moyo, maumivu katika moyo na kadharika onana na mimi kwani nimeshawasaidia wengi wenye tatizo hilo kwa kutumia dawa zangu za asili.

Kwa maelezo zaidi na zaidi njoo tuonane, nipigie kwa namba hii 0714755582


Kadharika huduma yangu kwa wale wenye matatizo yafuatayo bado inaendelea:

·Wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto). Kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili, pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama matokeo ya kutumia madawa ya kuzuia ujauzito kwa muda mrefu au kwa wale ambao hawapati ujauzito sababu ya kutoa mimba mara kwa mara.

·Watu wazima waliopalalaizi, nawafanyia mazoezi (masaji) na kupewa dawa zinazotokana na vyakula vya asili.

·Watoto wadogo waliozaliwa na ulemavu nao nawafanyia mazoezi na kupewa dawa asilia.

·Wenye magonjwa ya kisukari, vidonda vya tumbo, asthma/pumu, taifodi, malaria sugu kwa watoto na watu wazima, uzito/unene kupita kiasi na magonjwa mengine.

NIPO DAR ES SALAAM LAKINI NAHUDUMIA PIA WALIOKO MIKOANI.

Kwa maelezo zaidi na zaidi njoo tuonane, nipigie kwa namba hii 0714755582

Tiba yako yaani dawa zako zimepata ithibati kutoka mamlaka za utabibu. Usije ukawa kati ya matapeli km babu wa samunge alivyoweza kuwalaghai maelfu ya watu kwa kikombe chake feki, na kusababisha maafa ya kitaifa.
 
Tiba yako yaani dawa zako zimepata ithibati kutoka mamlaka za utabibu. Usije ukawa kati ya matapeli km babu wa samunge alivyoweza kuwalaghai maelfu ya watu kwa kikombe chake feki, na kusababisha maafa ya kitaifa.

Ndiyo mkuu, dawa zangu au dawa ninazozitumia ni zile zilizopata ithibati kutoka mamlaka husika, aidha mimi si tapeli.

Karibu.
 
Hizo ni tuhuma tu na mimi ninazo kumbukumbu za wagonjwa wote ninaowatibu sina historia ya mgonjwa huyo, ila wewe hilo jina lako nilikuona hata kwenye ule uzi wangu mwingine, una shida tu binafsi na mimi na wala hutafanikiwa

unaujua moyo na magonjwa yake?
 
Siku hizi watu wa ukimwi ila wanasingizia moyo..figo na pressure....
 
Tunapaswa kuwa makini kwa yote siyo katika tiba tu.

Karibu.

umakini zaidi katika afya ukishapewa dawa feki na makanjanja ukaidhuru afya yako kuna nini tena? afya ikishakua mbovu huezi fanya lolote,kikubwa tukumbushane tu kuweni makini jamani watu makanjanja sana na afya za watu!!
 
Huyu ni mganga wa kienyeji jamani na sio Dr. na waganga wa kienyeji wa hapa bongo tunajua tabia zao!
 
Huyu ni mganga wa kienyeji jamani na sio Dr. na waganga wa kienyeji wa hapa bongo tunajua tabia zao!

Kwani dr na mganga kuna tofauti gani? Umetumia nini kunijuwa kuwa mimi ni mganga wa kienyeji kama na wewe siyo mganga wa kienyeji?. Angalia mi nakuheshimu kwa kuishia hapa na comment yangu

unaujua moyo na magonjwa yake?
Ndiyo mkuu, unaweza kujisomea na wewe kwa kubonyeza hapa

na pia kuna dawa za aina ngapi?

Zipo kadhaa inategemea unasumbuliwa na aina gani ya matatizo yatokanayo na moyo.

Siku hizi watu wa ukimwi ila wanasingizia moyo..figo na pressure....
Pia kama unasumbuliwa na UKIMWI kuna dawa ninazo zitakusaidia sana, tuwasiliane.

umakini zaidi katika afya ukishapewa dawa feki na makanjanja ukaidhuru afya yako kuna nini tena? afya ikishakua mbovu huezi fanya lolote,kikubwa tukumbushane tu kuweni makini jamani watu makanjanja sana na afya za watu!!

Haya umeshasomeka, karibu.
 
Mhimu: Kuna mdau nimewasiliana naye jana yupo Moshi na amenitumia hela nimepoteza namba yake na sms nimefuta kwa bahati mbaya, hebu nitafute tafadhari.
 
Back
Top Bottom