Kabla na baada ya ndoa

Once again,,,,, KATAA NDOA 3-0 MABRAZA LIALIA.

ACHENI KUWAABUDU HAO WANAWAKE ZENU, ACHENI KUSIMPY, MWANAUME ACHA KUJITOA AKILI KWENYE MASWALA YA MSINGI.
 
yaani ww ni mfano hai wa SIMP umepigwa matukio lakini bado unaota ipo siku huyo mwanamke unayemuona wa thamani sana kwako atakurudia ww fala mmoja. My bro wake the f*ck up!!!!

Mwanamke wa kukuonea huruma ni mamako tu acha kuishi maisha ya kitamthilia za kifilipino. No shit like true luv. Game ya mapenzi ni mchezo wa kuviziana hii ni VITA KAMA VITA NYINGINE. Get up chukua silaa ingia vitana tawanya maadui kadri uwezavyo ishi maisha ya furaha, f*ck any woman acha kulialia hapa no woman atakuonea huruma unless unataka kupigwa tukio lingine takatifu.

Achana na ulevi jikite kutumia muda wa ziada kufanya vitu vya faida kama kufanya mazoezi hii itakusaidia kujiweka fiti kimwili na kimawazo.

Hakikisha unachukua namba za wanawake hata tatu kwa siku ili uwazoee. Hii technique itakusaidia mdomo kuwa mwepesi na kuwazoea wanawake. Jitaidi uwe unachukua namba sehemu tofauti tofauti kokote pale ww chukua namba akikataa achana nae usilazimishe.

Baada ya muda utajifunza vitu vingi kuhusu wanawake na biashara ya ngono iliyojificha kwenye kitu wanaita mapenzi.
 
Nimekuelewa Kaka ila Sasa unatumia lugha ngumu ndugu yangu si vizuri
 
Uchumba nilikaa nae almost less than a year kabla cjafanya maamuzi magumu ya kurasimisha mahusiano yetu... Ule uchumba naumiss sana mkuu, ulikuwa mtamu kweli yaani... Yaani sometimes ili ni enjoy sex lazima niukumbe ule wkt na kujipa imani utarudi tu
Pole sana Kiongozi. Inawezekana kabisa, ulimtamkia kumuona mapema tuu ndani ya muda mfupi wa uchumba. Hii, imepelekea kuficha makucha yake na kupretend wife material.

Uchumba sugu, hapo ni chukizo machoni pa Bwana, wakati mwingine unasaidia kujuana tabia na kuepuka pretenders. Fikiria, unaishi na Mwanamke miaka Mitatu au zaidi, hapa inakuwa ni ngumu kupretend na kunakuwa na changamoto za hapa na pale zimejitokeza kiasi cha kuwaachanisha lakini, mmemudu kusonga mbele. Tofauti sana na uchumba wa miezi kadhaa, huku muolewaji akiwa anajua anaolewa.
 
Single mothers wana historia tofauti tofauti na wazazi wenza, ukiotea ukampata mzuri utafurahi... Sie tuliojichanganya sasa tunakula sana za uso
Kwani mkuu single mother ni Wamamke wa aina je ni yule aliewahi kuolewa akaachika au ni yule Mwanamke aliyezalishwa mitaani bila kuolewa ?
 
Mkuu songle mother waongo namba Duniani Mimi nimechekewa kuoa kwasababu ya wanawake niliokua nao ni single mother kwahiyo nimepata kujifunza kwanza wapo Single mother wa aina mbili, Kuna Single mother wanaotafuta Mwanaume ili kumlea mtoto wake huyu hataki ndoa ana danga, kuna Single mothe5 mwingine huyu ana force ndoa kaona jua limezama na hakuna ndoa, sasa ukimpata anataka umuoe kwa haraka yani mmekutana leo baada ya mwezi anataka ukajitambulishe kwao ili umuoe. Vijana tuoe Mabinti tusioe Single mother Single mother wengi wamekata tamaa na maisha ya kifamilia na wanachuki moyoni walio ificha ndiyo maana wanalalamika kwa kuzalishwa wameharibia maisha, Single wanajua kwa kuzalishwa bila kuolewa tayari wameshaaribiwa maisha yao.
 
Nimechunguza nikagundua ndivyo alivyo lakini pia past yake imechangia kumfanya awe hivyo alivyo
Pole
Tupo wengi mkuu

Sema kiafrica imewekwa jambo la devorce kuwa gumu sana

Stage uliyopo na mimi nipo
Na kuna wengine pia wapo zaidi ya wewe ila wanajipa moyo mambo yatabadilika
Pole snaa
 
Ndiyo na % 99 wanatumia madawa na utakua ukipata pesa unatuma kwao tu na Wazazi wako wakikuomba pesa unakua unawajibu kwa ukali tofauti ukipigiwa simu kutoka ukweni unakua mpole uwakalipii.
 
Once again,,,,, KATAA NDOA 3-0 MABRAZA LIALIA.

ACHENI KUWAABUDU HAO WANAWAKE ZENU, ACHENI KUSIMPY, MWANAUME ACHA KUJITOA AKILI KWENYE MASWALA YA MSINGI.
Tumetubu kaka, tuliteleza ndiyo tunajikusanya kuanza upya

Ila taasisi ndoa ina vioja vingi sana kisa kile cheti

Bora wanaosogezana tu
 
Udhaifu wa mwanaume kwa mwanamke ni Kuheshimiwa .

Wanawake wengi washalijua hili na wanatumia fursa hii kuteka hisia za wanaume wengi [Angalia mlivyoanza mwanzo Kasingle mom kalivyokua kana kuheshimu kila sekta]

Mwanaume srong tu ndiye anaeweza kuzielewa hisia za mwanamke kama ni Fake au Anamaanisha..

Mwisho wa siku uwezo wako wa kusoma hisia zake kabla ndio utaamua ndoa idumu kiasi gani .

Hongera sana mkuu, Umejifunza sasa .
 
Duh mwanangu umefumuka maneno mazito balaa ila yana choma mpaka moyoni[emoji419] kuwa na mwanamke ni vita kama vita nyingine... Hili nimelielewa zaidi nikiwa nimeshayakanyaga...
 
Lilinigharimu pia tena sana tu... Natumaini sitorudia hilo kosa tena... Thanks
 
Duh mwanangu umefumuka maneno mazito balaa ila yana choma mpaka moyoni[emoji419] kuwa na mwanamke ni vita kama vita nyingine... Hili nimelielewa zaidi nikiwa nimeshayakanyaga...
hakuna namna ni kupasuka live bila chenga. Hope umepata concept niliyokusudia achana na maneno chukua ujumbe🤝
 
Uko sahihi sana mkuu na kwa kuongezea kwenye hoja yako

Nilikuja kubaini mambo mengi sana kuhusu yeye na mzazi mwenzie, lakini na wanaume wengine aliopita nao baada ya kuvunjika kwa ile ndoa yake ya kwanza na hata marafiki zake aliokuwa nao ambao kimsingi nao hawana historia nzuri sana ktk maisha yao ya mahusiano. Hayo mambo sikuyajua kabla sijamuoa. Laiti kama ningeyajua sidhani kama ndoa ingepitishwa. Japokuwa wadau wanasema past ya mtu haiathiri maisha yanayoendelea ila kinachomata ni mtu anayeonekana wkt huo na utayari wake wa kuitumikia ndoa. Nyie mambo ni mengi nikajitahidi kuyapokea kwa roho ngumu ivoivo kila ninapozidi kuyafahamu

But past ya mtu inaweza isiwe tatizo sana kama mwanamke anaamua kukuheshimu na kukutii kama mmewe. Sasa anaposhindwa kufanya hivyo ndiyo mtu unaanza kuconnect na mambo yake ya kale... Ndiyo kwa sehemu kubwa pia yamechangia kunitafuna mpk nahisi kuchoka

Kwa hiyo mkuu uko sahihi kabisa
 
View attachment 3156921
Hali ya sasa ilivyo inatisha sana, Mungu tusaidie
Hawa kila mmoja anaenda kucheka na washikaji zake, yaani furaha na vicheko kwa marafiki ni vingi , na washikaji watasifu sana jamaa ama dada mcheshi sana, ila couple hiyo hiyo kwa sababu za ego zao ndani hakuna story wala vicheko, ni mwendo wa gubu na kiburi, na kujiona bora kuliko kujishusha ni kununiana tu
 
hakuna namna ni kupasuka live bila chenga. Hope umepata concept niliyokusudia achana na maneno chukua ujumbe[emoji1666]
Ujumbe umepenya mkuu sikupingi... Hata sijajisikia vibaya zaidi nimeona nastahili fedheha kwa kuvumilia upuuuzi kwa muda mrefu ili kufurahisha watu na watoto
 
We acha tu... Vyumba vingekuwa vinaongea vingetusimulia mengi sana... Unaishi na mwenzio kwa kuviziana halafu watu wanawaona mmeshibana hatari[emoji28][emoji28]
 
We acha tu... Vyumba vingekuwa vinaongea vingetusimulia mengi sana... Unaishi na mwenzio kwa kuviziana halafu watu wanawaona mmeshibana hatari[emoji28][emoji28]
Mwenyewe napitia hayo mkuu. Wa nje wanaona tupo fresh, kumbe ndani full kuviziana kama unavosema. Kwa upande wangu mie nadhani ndio nimekuwa gundi ya ndoa, siku nikichoka itadondoka kama jengo lililopigwa bomu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…