Kabla sijafa naomba kusema ya moyoni

MBWETEKAUZU

Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
13
Reaction score
0
Mahakama ya mwanzo iliyopo katika wilaya ya korogwe vijijini maeneo ya makuyuni-mombo,ni si sehemu salama kwa haki za binadamu.hakimu mkazi wa mahakama hiyo anae julikana kwa jina la mbwana amekuwa akipoteza haki za maskini na wasiojiweza na kutoa haki hizo kwa wenye nazo.serikali,takukuru na asasi nyingine zenye kupenda haki hasa takukuru njooni muokoe haki na maisha ya wanyonge huku korogwe vijijini kwenye mahakama ya mwanzo iliyopo makuyuni-mombo
 
baada ya kuandika huu ujumbe umeshakufa
 
mbwetekauzu ulimzushia mtu kesi na ukajigamba mtaani kuwa utamfunga sasa mheshimiwa hakimu ametenda haki unakimbilia kulalama... Kama unao ushahidi japo wa kimazingira upeleke Takukuru hapo korogwe nao watufanyia kazi..lakini nakupa angalizo kuwa uzushi utakutokea puani kwani Takukuru watakurudia wewe wakibaini ulitunga..
 
nimekuelewa mkuu laiza.lakin si kweli kwamba nilimzushia mtu kesi.pia nashukuru kwa mwanga ulionipa wa kwenda takukuru
 
Ninachojua ni kweli asilimia kubwa ya waamuzi wa kesi, ufanya yao ila sometimes pia mdai mwenyewe anakosea anapokua na maneno mengi ilhali ushahidi ni mdogo.
 



Kufa kweli ili huu ushahidi uwe dying declaration.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…