Kabla sjaoa nizingatie nini

Tariqfinest

Member
Joined
Jul 13, 2021
Posts
16
Reaction score
23
Ili ni swal nimeulizwa na vijana watatu ambao wannia ya kuingia katika mahusiano ya kudumu yaani ndoa ..

Taja vitu unavyovizingatia kabla hujavuta jiko ?
 
Bei
Material
Aina mfano la mkaa au gesi

Yap namna hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…