FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 915
- 638
Niliposikia rais akitangaza kuwa kuanzia mwakani elimu nchini itakuwa bure nilijiuliza maswali haya:
1. Mbona kuna wanafunzi wengi mpaka sasa matokeo yao ya mitihani yamezuiliwa serikali haija wasaidia?
2. Mbona walijaribu kufuta ada ya mitihani wakashindwa na badala yake adazimekuwa maradufu?
3. Kwanini wasianze kufuta ada ya mitihani ambayo ni kubwa kuliko ada ya shule hususani shule za kata?
Mfano:Ada ya Mtihani kidato cha nne na sita ni 50,000/= Kidato cha Pili; 20,000/= wakati ada ya mwaka ni 20,000 kwa shule za kata baadhi ya wazazi bado hawalipi.
4. Mbona hatuoni ajira za walinzi,wapishi mashuleni hasa zile za kata,je serikali itawalipia mishahara pia?
5. Mbona hatuoni Madawati yakiandaliwa kupelekwa mashuleni kwaajili ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza?
Isije ikawa ada inafutwa michango yote ikahamia kwa wazazi.
1. Mbona kuna wanafunzi wengi mpaka sasa matokeo yao ya mitihani yamezuiliwa serikali haija wasaidia?
2. Mbona walijaribu kufuta ada ya mitihani wakashindwa na badala yake adazimekuwa maradufu?
3. Kwanini wasianze kufuta ada ya mitihani ambayo ni kubwa kuliko ada ya shule hususani shule za kata?
Mfano:Ada ya Mtihani kidato cha nne na sita ni 50,000/= Kidato cha Pili; 20,000/= wakati ada ya mwaka ni 20,000 kwa shule za kata baadhi ya wazazi bado hawalipi.
4. Mbona hatuoni ajira za walinzi,wapishi mashuleni hasa zile za kata,je serikali itawalipia mishahara pia?
5. Mbona hatuoni Madawati yakiandaliwa kupelekwa mashuleni kwaajili ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza?
Isije ikawa ada inafutwa michango yote ikahamia kwa wazazi.