Elisha Chuma
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 282
- 275
[FONT=Times, Times New Roman, serif]Marketing kwa maana moja mimi huwa naiita ni zao la Branding kwenye biashara ambalo linatakiwa litoke liende kuitangaza brand iliyojitengeneza.Hapa nchini biashara nyingi zinafanyika kwa mazoea na watu wanafanya bila kuelewa au kuwa na maana halisi ya kitu wanachokifanya, utakuta mtu ameona kampuni fulani wamefanya kitu fulani kwa ajili ya bidhaa, biashara au huduma kwa ajili ya kampuni yao, basi na yeye pia atataka kubadilisha jina tu kwenye hicho kitu kutoka jina la biashara alioiona hadi jina la biashara yake, ila vingine ataviaacha kama vya mwenzake kwa vile tu amependa jinsi kile kitu kilivyo. Na wengine hufanya hivyo kwa mifano na kujaribu .
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]Leo nitaelezea kidogo vitu vya kuzingatia kabla hujaanza kujitangaza au kufanya marketing,Tutaangalia vitu kama vitano(5) ambavyo unatakiwa kuviangalia kwenye biashara yako kabla ya kuanza kufanya marketing, vitu hivi mara zote huwa ni vitu vya kawaida na huonekana ni sio vya muhimu sana lakini nikupe siri ndugu yangu hakuna kitu ambacho sio cha muhimu hata kama ni kidogo kiasi gani.
[/FONT]
[/FONT]
[/FONT]
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif] 4 . Nini ni faida nilizonazo kwenye ushindani?
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]Kabla ya kuingia katika ushindani sokoni ni lazima pia uangalie faida za ushindani, ambapo faida za ushindani ni kwako ni udhaifu wa mshindani ,sio tu kuanzisha kampeni kwa vile mwenzako ametengeneza kitu kama kile na wewe ufanye kwa kutegemea matokeo sawia, angalia kwanza unafaida gani za kiushindani na unazitumia vipi hapo ndio unaweza kufanya kitu ili kikuletee matokeo chanya.
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif] 5. Nnaogopa nini?
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]Kama mfanyabiashara au biashara lazima kuna vitu ambavyo utakuwa unaviogopa kwenye soko haijalishi vinaathari kwako au kwenye biashara, vitu hivyo pia vinatakiwa viwekwe hadharani kwa kuzingatia aina ya biashara na kampeni ya masoko unayotaka kuifanya hii itakusaidia kutengeneza njia nzuri za kuviepuka au kutafutia mbinu mbadala ya kuvishinda.
[/FONT]
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]Leo nitaelezea kidogo vitu vya kuzingatia kabla hujaanza kujitangaza au kufanya marketing,Tutaangalia vitu kama vitano(5) ambavyo unatakiwa kuviangalia kwenye biashara yako kabla ya kuanza kufanya marketing, vitu hivi mara zote huwa ni vitu vya kawaida na huonekana ni sio vya muhimu sana lakini nikupe siri ndugu yangu hakuna kitu ambacho sio cha muhimu hata kama ni kidogo kiasi gani.
[/FONT]
- [FONT=Times, Times New Roman, serif]Uko kwenye biashara gani?[/FONT]
[/FONT]
- [FONT=Times, Times New Roman, serif]Malengo yangu ni yapi?[/FONT]
[/FONT]
- [FONT=Times, Times New Roman, serif]Nnatoa faida gani?[/FONT]
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif] 4 . Nini ni faida nilizonazo kwenye ushindani?
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]Kabla ya kuingia katika ushindani sokoni ni lazima pia uangalie faida za ushindani, ambapo faida za ushindani ni kwako ni udhaifu wa mshindani ,sio tu kuanzisha kampeni kwa vile mwenzako ametengeneza kitu kama kile na wewe ufanye kwa kutegemea matokeo sawia, angalia kwanza unafaida gani za kiushindani na unazitumia vipi hapo ndio unaweza kufanya kitu ili kikuletee matokeo chanya.
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif] 5. Nnaogopa nini?
[/FONT]
[FONT=Times, Times New Roman, serif]Kama mfanyabiashara au biashara lazima kuna vitu ambavyo utakuwa unaviogopa kwenye soko haijalishi vinaathari kwako au kwenye biashara, vitu hivyo pia vinatakiwa viwekwe hadharani kwa kuzingatia aina ya biashara na kampeni ya masoko unayotaka kuifanya hii itakusaidia kutengeneza njia nzuri za kuviepuka au kutafutia mbinu mbadala ya kuvishinda.
[/FONT]