Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 412
Wawakilishi wa Baraza la wawakilishi Zanzibar wamedai kufahamishwa mipaka ya Zanzibar kabla ya kujadili Rasimu (Source-ITV Taarifa ya Habari)
My take:
1.Je kwa madai haya Wazanzibari WANAJIANDAA kuuvunja Muungano?
2.Kuna mwana jf anafahamu mipaka ya Tanganyika na Zanzibar ( atuwekee hapa tuijadili)
My take:
1.Je kwa madai haya Wazanzibari WANAJIANDAA kuuvunja Muungano?
2.Kuna mwana jf anafahamu mipaka ya Tanganyika na Zanzibar ( atuwekee hapa tuijadili)