Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Kabla ya kulalamika ni vigumu kumpata mtu fulani, je wewe watu wanakupata wanapokuwa wanakuhitaji kulingana na majukumu uliyopewa? Ukipigiwa simu unapokea? Ukitumiwa ujumbe WhatsApp unajibu?
Wengi wenu ni vigumu kupatikana kwasababu mnajiweka kwenye standard za juu bila kuzingatia majukumu. Ikifika siku na wewe unatafuta mtu fulani hapatikani na wewe unaanza kulalamika
Wengi wenu ni vigumu kupatikana kwasababu mnajiweka kwenye standard za juu bila kuzingatia majukumu. Ikifika siku na wewe unatafuta mtu fulani hapatikani na wewe unaanza kulalamika