Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Waziri pekee anayetumikia wananchi ni Gwajima anapokea cm na anajibu jumbe, haya mengine ni matapeli tupuKabla ya kulalamika nivigumu kampata mtu fualani je wewe watu wanakupata? Wanapokuwa wanakuhitaji kulingana na majukumu uliyopewa? Ukipigiwa simu unapokea? Ukitumiwa ujumbe WhatsApp unajibu? Wengi wenu nivigumu kupatikana kwasababu mnajiweka kwenye standarda zajuu bila kuzingatia majukumu. Ikifika siku nawewe unatafuta mtu fulani hapatikani naweqe unaanza kulalamika
95% ni watu wa hovyo snBora ambae hapatikani kuna wengine hawapokei tena wakijua unashida nao...
Kibaya zaidi ukipiga kwa namba mpya wanapokea...
Viongozi wengine nchi yetu ni NGUMU mno kuwapata. Mimi Kuna kiongozi wa kitaifa Nina miezi 11 nimeomba nafasi ya kuonana naye Hadi leo holaa. "Eeh MUNGU ione nchi yetu hii."Kabla ya kulalamika ni vigumu kumpata mtu fulani, je wewe watu wanakupata wanapokuwa wanakuhitaji kulingana na majukumu uliyopewa? Ukipigiwa simu unapokea? Ukitumiwa ujumbe WhatsApp unajibu?
Wengi wenu ni vigumu kupatikana kwasababu mnajiweka kwenye standard za juu bila kuzingatia majukumu. Ikifika siku na wewe unatafuta mtu fulani hapatikani na wewe unaanza kulalamika
MUNGU ambariki sana huyu mama , anajali utu kwa kweli.Waziri pekee anayetumikia wananchi ni Gwajima anapokea cm na anajibu jumbe, haya mengine ni matapeli tupu
DahUsinitafute nipo busy.