LGE2024 Kabla ya kulalamikia wizi wa Kura, Chadema walitimiza wajibu wao?

LGE2024 Kabla ya kulalamikia wizi wa Kura, Chadema walitimiza wajibu wao?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Hakuna miujiza yoyote wanayofanya ccm, wakati wa uandikishaji wakala anatakiwa kuwa na idadi ya wanaoandikishwa kila siku mpaka siku ya mwisho orodha kamili awe nayo na ifikishwe chamani.

Pili Wakala siku ya upigaji kura ahakikishe hakuna mtu anapiga kura zaidi ya moja kwenye sanduku moja, ni rahisi sana kumgunduwa mtu anayeiñgia na kura ambazo zimeshapigwa.

Ukiweza kuwadhibiti CCM maeneo hayo mawili tu hakuna wizi wa kura utatokea labda kura za Urais.

Walichofanya CCM ni kuongeza majina hewa na kuingiza kura fdke mbele za mawakala wakishubudia bila mujuwa, huu ndio ukweli asitafutww mchawi,

Dosari kubwa niliyoiona jana ni watu kupiga kura zaidi ya mara moja kwa kutumia majina hewa, hili unaweza kulidhibiti kwenye uandikishaji tu.

Mawakala waandaliwe mapema na wapewe mafunzo, na kwakuwa ccm hItaki ustarabu sasa zinahitajika siasa za jino kwa jino ndio ccm wataelewa.
 
Sasa mkuu, hayo ni mazingira ya upigaji kura duniani kwel?

Kwamba unadhani CDM wanaweza pambana na hila za namna hiyo nchi nizma?

Wapambane na Mabomu, visu, mapanga.. ili tu kulinda kura?

Huoni kama hali hii imrfanya wengine wasijitokeze hata kupiga kura?

Tudai chaguzi huru na haki.... Angalao huko mbeleni... Hizi abracadabra ni maneno tu.
 
Sasa mkuu, hayo ni mazingira ya upigaji kura duniani kwel?

Kwamba unadhani CDM wanaweza pambana na hila za namna hiyo nchi nizma?

Wapambane na Mabomu, visu, mapanga.. ili tu kulinda kura?

Huoni kama hali hii imrfanya wengine wasijitokeze hata kupiga kura?

Tudai chaguzi huru na haki.... Angalao huko mbeleni... Hizi abracadabra ni maneno tu.
Yani unategemea ccm wakuletee uchaguzi huru? Unajuwa wagombea kwwnye kura za maoni wanatumia shiñgapi?

Bila ya Man to Man ccm huwawezi, hizo kura fake jana zimeingizwa mchana kweupe mbele ya mawakala wamebung'aa tu, mawakala wanatakiwa kupewa mafunzo na wakufunzi wanaojuwa hii michezo, mimi nikisimamia séhemu huwezi kuingiza kura fake unachomolewa unakabidhiwa kwa raia.

Huu uhúni ndio legacy aliyoacha Magufuli, ziko sehemu ccm walisthili kushinda lakiñi siyo kwa margin kubwa kiasi hiki, mawakala walifuata posho siyo kusimamia uchaguzi.
 
Yani unategemea ccm wakuletee uchaguzi huru? Unajuwa wagombea kwwnye kura za maoni wanatumia shiñgapi?

Bila ya Man to Man ccm huwawezi, hizo kura fake jana zimeingizwa mchana kweupe mbele ya mawakala wamebung'aa tu, mawakala wanatakiwa kupewa mafunzo na wakufunzi wanaojuwa hii michezo, mimi nikisimamia séhemu huwezi kuingiza kura fake unachomolewa unakabidhiwa kwa raia.

Huu uhúni ndio legacy aliyoacha Magufuli, ziko sehemu ccm walisthili kushinda lakiñi siyo kwa margin kubwa kiasi hiki, mawakala walifuata posho siyo kusimamia uchaguzi.
Sasa mkuu si itakuwa machafuko nchi nzima🤣🙌
 
Sasa mkuu si itakuwa machafuko nchi nzima🤣🙌
Ndicho wanachokitaka ccm, usione Kenya wanaheshimiana ukadhani heshima inakuja hivihivi tu.

Msumbiji hapo watu wamekata wizi wa kura, tumebaki mazezeta ya Tanzania tu.
 
Back
Top Bottom