Kabla ya kuwashauri Simba tutafakari haya...

Usikute Simba ndo malengo yao ni kufika hatua ya robo fainali
Si kila timu inayoshiriki inataka ubingwa
Kwa mfano katika ligi ya NBC kuna timu lengo lao ni kuendelea kubaki premier league tu, wengine ni kuwa katika nne bora
Katika EPL timu yangu ya Man U malengo yetu ni kuwa katika 'top four basi mambo ya ubingwa tuwaachie Liverpool na Man City
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…