Kabla ya ndoa ujifunze lipi

Kwani unadhani mfumo dume ulianzia wapi The Finest? No kwenye haya haya maandiko!

BHT umekomalia mbaya
haya tuanzishe mada ya kuammenda maandiko ila sijui ni bunge la wapi litakaa
 

...kuna kaukweli lakini hapo, "ukinitii nitakupenda!" and vice versa!
 
amendment inafanywa na Mungu mwenyewe, na akiona hilo hututimia muongozo wake mpya kabisa. (hapa sitaki kuingia ndani zaidi ntaanza kukufundisha dini yangu bure) Do your own investigation of the truth!
 

NN sawa ila ule umwanaume lazima uonekane hata kama kwa kujificha maana huwezi kusema wote mtakuwa sawa
 
amendment inafanywa na Mungu mwenyewe, na akiona hilo hututimia muongozo wake mpya kabisa. (hapa sitaki kuingia ndani zaidi ntaanza kukufundisha dini yangu bure) Do your own investigation of the truth!

But the truth remains BHT. Achana na masuala ya wanawake kutaka haki ukweli unabakia kuwa mwanaume ni kichwa cha nyumba na lazima hilo aheshimiwe nalo (sijaweka kutii)
 
NN sawa ila ule umwanaume lazima uonekane hata kama kwa kujificha maana huwezi kusema wote mtakuwa sawa

I am very secure with my manhood and therefore I don't have to prove anything to show that indeed I am a man or rather THE man of the house.
 
Hapo ntatofautiana na wewe kabisaaaa....yaani niwe na upendo wa dhati afu nisimtii/kumheshimu mume? Bado haingii akilini

ndio maana nimesema kwa mawazo yangu.....na sio lazima ukubaliane nayo..........kupenda na kutii vikiungana unapata ndoa bora
 
Reactions: Mbu
I am very secure with my manhood and therefore I don't have to prove anything to show that indeed I am a man.

Thats great to know that you are one hundred percent secured and you can guarantee to any one that you are a man even to your beloved wife.
 
But the truth remains BHT. Achana na masuala ya wanawake kutaka haki ukweli unabakia kuwa mwanaume ni kichwa cha nyumba na lazima hilo aheshimiwe nalo (sijaweka kutii)
Aisee wewe bana! Bora NN na The Finest wanasomeka kivingine! Lakini wewe unataka mfumo dume wewe. Afu hapa si suala la kutaka haki, ni suala la kuwa na mahusiano bora ya ndoa. Hakuna aliye juu zaidi ya mwenzie. Mbona maisha yanakuwa utumwa na utwana?
 
TF kuna zaidi ya hapo na kuna kitu walioandika maandiko walikiona ndo maana wakaweka kabisa kuwa wanawake wawatii waume zao
Inawezekana kabisa

Kwani unadhani mfumo dume ulianzia wapi The Finest? No kwenye haya haya maandiko!
Leo bht leo aisee ngoja niombe msaada kwa Kimey lol!!!
Lol!! NN umenimaliza kabisa
 

...kuna kaukweli lakini hapo, "ukinitii nitakupenda!" and vice versa!
"Ukinitii nitakupenda"
"Ukiniheshimu nitakupenda"


Dah!!!! Mbu msaada kwenye tuta
 
Reactions: Mbu

...The Finest, kutii maana yake ni;

KAMUSI YA KISWAHILI;
Utii nm nidhamu au adabu ya tabia;usikivu.

Mke anatakiwa awe na nidhamu, adabu na usikivu kwa mumewe.
Mume ni kichwa cha familia,...bila kusikizwa na kuheshimiwa hakuna utii hapo.
 
Aisee wewe bana! Bora NN na The Finest wanasomeka kivingine! Lakini wewe unataka mfumo dume wewe. Afu hapa si suala la kutaka haki, ni suala la kuwa na mahusiano bora ya ndoa. Hakuna aliye juu zaidi ya mwenzie. Mbona maisha yanakuwa utumwa na utwana?

BHT ungejua mimi ni mmoja wao sana anayelaani huu mfumo dume
Sijakomalia mahusiano ya kitwana na kitumwa ndani ya ndoa maana ndoa ni raha bana mkiwa free wote wawiili ndani ya nyumba na sio ile ya kukaa mkiona baba anaingia watoto na mke wanajifanya wamelala kuepuka kipigo na matusi ya baba
Ndoa ni raha bana mkiwa wote mnajisikia huru na hakuna utwana na utumwa
Raha mkiwa level mja ya maelewano na mkiw amko free kuelezea hisia zenu na mnayoiona ndoa na kusikilizana pia
 

...The Finest, kutii maana yake ni;

KAMUSI YA KISWAHILI;
Utii nm nidhamu au adabu ya tabia;usikivu.

Mpaka hapo freshi.

Mke anatakiwa awe na nidhamu, adabu na usikivu kwa mumewe.
Mume ni kichwa cha familia,...bila kusikizwa na kuheshimiwa hakuna utii hapo.

Ila hapa ndo penye tatizo. Kwa hiyo mume yeye hatakiwi kuwa na nidhamu, adabu, na usikivu kwa mkewe?
 
...The Finest, kutii maana yake ni;KAMUSI YA KISWAHILI;Utii nm nidhamu au adabu ya tabia;usikivu.Mke anatakiwa awe na nidhamu, adabu na usikivu kwa mumewe.Mume ni kichwa cha familia,...bila kusikizwa na kuheshimiwa hakuna utii hapo.
Na mume nae amfanyie nini mke?Mume kichwa cha familia, na mke nae?
 
Haya ndo maneno sasa....
 
Mbu unaranda randa sana ....hueleweki! Mara ...you are in ....mara....you are out!
 

...The Finest, kutii maana yake ni;

KAMUSI YA KISWAHILI;
Utii nm nidhamu au adabu ya tabia;usikivu.

Mke anatakiwa awe na nidhamu, adabu na usikivu kwa mumewe.
Mume ni kichwa cha familia,...bila kusikizwa na kuheshimiwa hakuna utii hapo.

Mpaka hapo freshi.



Ila hapa ndo penye tatizo. Kwa hiyo mume yeye hatakiwi kuwa na nidhamu, adabu, na usikivu kwa mkewe?

Na mume nae amfanyie nini mke?Mume kichwa cha familia, na mke nae?
Hehehehe!!!! Mbu hebu rudi kwanza hapa
 
Reactions: Mbu
"Ukinitii nitakupenda"
"Ukiniheshimu nitakupenda"


Dah!!!! Mbu msaada kwenye tuta

'intangibles' tu hizo mbona unashtuka? ipo siku mbele ya kasisi utayatamka maneno haya;

''... nitakupenda kwa shida na raha, taabu na mateso maisha yangu yote mpaka kifo kitutenganishe'' naye atakujibu... "..nitakutii, nitakuwa muaminifu, blah blah...!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…