Kabla ya ndoa ujifunze lipi

Haya ndo maneno sasa....


BHT sio kwamba ndoa ni utumwa bana
Ndoa ni raha iwapo kila mmoja wenu ndani ya mahusiano ana raha na amani. Ndoa ni raha kama kila mmoja anaridhika na mwenzake na kufurahia uwepo wa mwenzake ndani ya nyumba na sio mmoja amenuna na mmoja ana raha na mnaaita ndoa.Ndoa ni raha ya pande zote mbili kusikilizana na kushauriana na kuheshjimiana na kupendana wote na sio utumwa na ubwana
 

Mbu hapo Italic sijui imekutoka maana sijaona ilipoandikwa
 

Mbona siku hizi watu wanavibadili hivyo viapo (na mimi nawaunga mkono na miguu yangu yote)

Deku hii ya juzi juzi tu hapa Kate Middleton alivyofanya....


Nimeipenda sana hiyo ya 'love, comfort, honour and keep'. Hakuna upumbavu wa kutii hapo.

Chanzo cha nukuu: http://www.dailymail.co.uk/femail/a...ride-obey-following-Princess-Dianas-lead.html
 
Mpaka hapo freshi.

Ila hapa ndo penye tatizo. Kwa hiyo mume yeye hatakiwi kuwa na nidhamu, adabu, na usikivu kwa mkewe?

...mume anatakiwa ampende tu mkewe. Iwapo kwenye huo upendo wa mume kuna nidhamu, adabu, usikivu, nk, ...jibu lishapatikana hapo NN.
 
NN hiyo ya Kate Middleton inaitwa "On Your Face" lol no bullshitting around yaani straight forward
 
...mume anatakiwa ampende tu mkewe. Iwapo kwenye huo upendo wa mume kuna nidhamu, adabu, usikivu, nk, ...jibu lishapatikana hapo NN.

Mbu mbona kuna kama subordination fulani (nidhamu, adabu na usikivu) lol
 
Reactions: Mbu
hivi vile viapo vya bomani, kwa ndoa zinazofungwa kule, vikoje? (nimepata shauku ya kujua)
 

...kuna kaukweli lakini hapo, "ukinitii nitakupenda!" and vice versa!
Kweli mtihani wa leo!! Mh
Nitakutii kwa sababu it makes me happy and makes me a woman.............kwa mujibu wa andiko but si guarantee ya kupendwa!! kwa maana hiyo mwanamke anauwezo wa kumtii mtu asiyempenda?? Maana hata kama unampenda mtu na yeye hakupendi iko siku si utachoka? na je ukichoka utii utaendelea kuwepo??mwe!
Ah mnanichanganya zaidi sasa, akili yenyewe hii ya kubandika na mate, ukipita upepo zimeyeyuka! Kuweni fair tafadhali!
 

...wewe si umen'kusudia tangia jana?....lete maandiko, hutaki!...nyumba yangu inaungua huku!




...aaahh!!! nini tena?...naandika huku nasinzia bana...bht 'anachakachua' kila niandikacho pheeewwww!

Angalia utaandikiwa mpaka kiapo chako cha ndoa ujikute unasema nitamtii na kumsujudia wife wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…