Kabla ya ndoa ujifunze lipi

NN sawa ila ule umwanaume lazima uonekane hata kama kwa kujificha maana huwezi kusema wote mtakuwa sawa

Jamani kwa nini watu wanapenda kuwa juu ya wenzao, hii dhana ya wanandoa kuwa mwili mmoja nashindwa kuielewa
 

Mwanajamiione kuna nidhamu ya woga yaani ni kama ile ya wewe na boss wako yaani akiwepo unajifanya mfanyakazi bora kweli ila akiondoka duh unarudi kuwa wa kawaida
Sasa hiyo ni nidhamu ya woga. Na kwa mwanamke anaweza kuwa anakuonyesha ana upendo wa hali ya juu kwako anakutii na kukuheshimu ila kumbe hakuna kitu ukigeuza mgongo anakuzomea
 
Reactions: Mbu
......Said I loved you but I lied,
 
Yeye pia aweza kuwa moyo na mi nikawa kichwa, hakuna ubaya!

mnh, maandiko hayajatuamrisha hivyo, hivi wewe ukoje leo lakini? aahh!..
...sitaki kula tufaa mie!

 
Jamani kwa nini watu wanapenda kuwa juu ya wenzao, hii dhana ya wanandoa kuwa mwili mmoja nashindwa kuielewa

hapo hakuna wa kuwa juu ni just maelewano tuu kuwa heshima iwepo na mmoja aonekane kuwa ndiye mwenye sauti japo huo unakuw ani mfumo dume sana
 
...wewe si umen'kusudia tangia jana?....lete maandiko, hutaki!...nyumba yangu inaungua huku!...aaahh!!! nini tena?...naandika huku nasinzia bana...bht 'anachakachua' kila niandikacho pheeewwww!
Daah Mbu!Mi najaribu kuweka mambo yalingane na vile nataka yawe! Staki kuishi kulingana na mfalme Daudi alivotaka aisee....ndo matokeo yake mmoja kichwa mwingine miguu....Kwa nini wote tusiwe mabawa ya ndege mmoja?
 
Jamani kwa nini watu wanapenda kuwa juu ya wenzao, hii dhana ya wanandoa kuwa mwili mmoja nashindwa kuielewa
Lazima uchanganyikiwe hapo! Provision moja ya Biblia inatuambia na tutakuwa hata kama mwili mmmoja.....Nyingine inatuelekeza kwenda kumsujudia mume maana yeye ni kichwa cha familia
 
Lazima uchanganyikiwe hapo! Provision moja ya Biblia inatuambia na tutakuwa hata kama mwili mmmoja.....Nyingine inatuelekeza kwenda kumsujudia mume maana yeye ni kichwa cha familia

Ndo maana biblia haisomwi kama novel read between the line and construe the hidden meaning na sio face meaning
 
mnh, maandiko hayajatuamrisha hivyo, hivi wewe ukoje leo lakini? aahh!..
...sitaki kula tufaa mie!
Huyu aliyeandika haya atanisamehe....hawezi kuniamrisha kuishi vile alivyotaka yeye na haya ni maisha yangu! Atanifanya niione ndoa chungu Mbu.Afu sio leo tu, niko hivyo hivyo...lol!
 
Lazima uchanganyikiwe hapo! Provision moja ya Biblia inatuambia na tutakuwa hata kama mwili mmmoja.....Nyingine inatuelekeza kwenda kumsujudia mume maana yeye ni kichwa cha familia
:biggrin1::biggrin1:
 
Mbu mbona kuna kama subordination fulani (nidhamu, adabu na usikivu) lol

...lol...usishtuke kaka, ...kwenye effective communication baina ya mke na mume lazima pawepo na nidhamu, adabu na usikivu...ama? kama unampenda mkeo, utamsikiza kwa adabu na nidhamu.


I was thinking the same thing

..thinking what bana?...lete maandiko! umeniponza wewe hapa!



...mnh, hivi Mwj1 nimekuomba uache kupika uje huku halafu nawe wan'pangia matofali kichwani ee? lol!...
Back to the topic
. Utii uliokusudiwa hapa ni ule wa nidhamu, adabu na usikivu. Misuko suko definately itakuwamo lakini njia mojawapo ya kuitatua misukosuko hiyo ni huo utii...
 
Daah Mbu!Mi najaribu kuweka mambo yalingane na vile nataka yawe! Staki kuishi kulingana na mfalme Daudi alivotaka aisee....ndo matokeo yake mmoja kichwa mwingine miguu....Kwa nini wote tusiwe mabawa ya ndege mmoja?
Nilijaribusana kutafuta hiyo sehemu kwenye Biblia lakini sijaipata
 
...lol...usishtuke kaka, ...kwenye effective communication baina ya mke na mume lazima pawepo na nidhamu, adabu na usikivu...ama? kama unampenda mkeo, utamsikiza kwa adabu na nidhamu.

Sasa huoni hapo inaweza ikawemo nidhamu ya woga yaani anakuwa kama mwanafunzi na mwalimu. Huwezi sema pale kuna nidhamu ila nidhamu ya woga wa kuadhibiwa. Na ndoa haitakiwi kuwa hivyo mkuu
 
Heheheeee pole....
NN usicheke bana nashindwa kuelewa kabisa, eti mnapendana na kuheshimiana halafu mmoja anataka kuwa boss wa mwenzie

hivi mkisha heshimiana na kuelewana kuna haja ya mmoja wenu awe juu
 
Huyu aliyeandika haya atanisamehe....hawezi kuniamrisha kuishi vile alivyotaka yeye na haya ni maisha yangu! Atanifanya niione ndoa chungu Mbu.Afu sio leo tu, niko hivyo hivyo...lol!

lol,...hapo sasa mimi sitaki kufuru...Mchungaji The Finest ataliweka sawa hili na kwa wanandoa wote walioamua wenyewe kwa akili zao timaamu kabisa kujifunga kufuli la maisha wikiendi hii!
 

..thinking what bana?...lete maandiko! umeniponza wewe hapa!
Unakumbuka ule msemo wa "Jiokoe Mwenyewe" lol!!!


Back to the topic
. Utii uliokusudiwa hapa ni ule wa nidhamu, adabu na usikivu. Misuko suko definately itakuwamo lakini njia mojawapo ya kuitatua misukosuko hiyo ni huo utii...
Hapa tupo pamoja Mbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…