Kabla yanga hawajaaga mashindano tutashuhudia nyuzi nyingi za malalamiko ya kuonewa

Kabla yanga hawajaaga mashindano tutashuhudia nyuzi nyingi za malalamiko ya kuonewa

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Hawa jamaa wamekuwa na desturi ya kulalamikia waamuzi sana.Ni kama mwanamke anavyolalamikia mfumo dume.Unakuta mradi aonekane kaonewa tuuu na huenda wanatafuta huruma.

Kwa hapa nyumbani tumewazoea sana kwani wanailalamikia TFF kila wakati licha ya kwamba wao ndiyo timu inayoongoza kudeka na kubebwa uwanjani.Hayo yote hawayaoni.

Jana mechi yao na Medeama,wamebebwa sana kwa wapinzani kunyimwa penalty na hata goli walilofunga walianza kwa kucheza faulo mwamuzi akapeta.Yote hayo hawayaoni,wanaona tu goli la offside na wanamlaumu mwamuzi badala ya kibendera.Kibabage alizidi kwa kuangalia marudio ya picha.

Nawashauri kama mnajiona wakubwa,kuna sababu gani ya kulalamikia?Mnamlalamikia nani na ninyi ndio wakubwa?
 
Hawa jamaa wamekuwa na desturi ya kulalamikia waamuzi sana.Ni kama mwanamke anavyolalamikia mfumo dume.Unakuta mradi aonekane kaonewa tuuu na huenda wanatafuta huruma.

Kwa hapa nyumbani tumewazoea sana kwani wanailalamikia TFF kila wakati licha ya kwamba wao ndiyo timu inayoongoza kudeka na kubebwa uwanjani.Hayo yote hawayaoni.

Jana mechi yao na Medeama,wamebebwa sana kwa wapinzani kunyimwa penalty na hata goli walilofunga walianza kwa kucheza faulo mwamuzi akapeta.Yote hayo hawayaoni,wanaona tu goli la offside na wanamlaumu mwamuzi badala ya kibendera.Kibabage alizidi kwa kuangalia marudio ya picha.

Nawashauri kama mnajiona wakubwa,kuna sababu gani ya kulalamikia?Mnamlalamikia nani na ninyi ndio wakubwa?
Sawa dada umeeleweka hawatalalamika tena
 
Sawa Ila Ndiyo Uwezo Wa Kawaida Tu Huko Kukubwa Mno
 
Ingawa umeorodhesha majina hadi ya waganga wa kienyeji wa kijijini kwenu,jina utopolo limewakaa vizuri sana.Ni kama dereva mzee anavyofanana na gari lake bovu.
Makolokolo SC fans wanang'aka sana vibanda umiza hadi wanarusha ngumi kisa kuwaita "Makolokolo" we ni Kolowizards la wapi hadi ujifariji namna hiyo [emoji848][emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Makolokolo SC fans wanang'aka sana vibanda umiza hadi wanarusha ngumi kisa kuwaita "Makolokolo" we ni Kolowizards la wapi hadi ujifariji namna hiyo [emoji848][emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mtulie mnyolewe makwapani.Muda wa kuandaa na kuikosoa uto mkawa mnagongelea mabango mitaani.Na bado hadi mlie kwa kwikwi.Utopolo wakubwa ninyi!
 
Hawa jamaa wamekuwa na desturi ya kulalamikia waamuzi sana.Ni kama mwanamke anavyolalamikia mfumo dume.Unakuta mradi aonekane kaonewa tuuu na huenda wanatafuta huruma.

Kwa hapa nyumbani tumewazoea sana kwani wanailalamikia TFF kila wakati licha ya kwamba wao ndiyo timu inayoongoza kudeka na kubebwa uwanjani.Hayo yote hawayaoni.

Jana mechi yao na Medeama,wamebebwa sana kwa wapinzani kunyimwa penalty na hata goli walilofunga walianza kwa kucheza faulo mwamuzi akapeta.Yote hayo hawayaoni,wanaona tu goli la offside na wanamlaumu mwamuzi badala ya kibendera.Kibabage alizidi kwa kuangalia marudio ya picha.

Nawashauri kama mnajiona wakubwa,kuna sababu gani ya kulalamikia?Mnamlalamikia nani na ninyi ndio wakubwa?
Umeandika Upumbavu

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom