Kabrasha chumba cha kunyongea

Ningewanyonga ja mikono.
Unawapiga ile ya mbao inakuaga imepambwa na viji misumari flani vidogo vidogo hivi,,watoto wauswahilini wamenichukulia vichenji vyangu sana kwa iyo zana
 
najua uzi umespecify kunyongwa ila kuuliza sio ujinga ...je kuna style ya kuua ambayo haina maumivu ya aina yeyote? na je kwenye ķuuliwa nani anae amua atanyongwa au sumu au shoti jaji au mtumiwa
Mkuu utajuaje kama style flani gaina maumivu? [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mkuu kwa hiyo mtu hata akitaka papuchi agegede kwa Mara ya mwisho kabla ya kunyongwa huletewa?
 
Umewaza nini kutoa hii mada? unadhania au unaushahidi wa haya?
 
Hii balaah kabisa
 
mbona unaleta topic hii ya kutisha wakati raisi wetu wa awamu ya tano amesema hanyongi!!
 
nilipata kusikia kuwa rais anapaswa kuwa kwenye kiti chake cha enzi wakati hukumu ya kunyonga inafanyika na huwa anakuwa ameunganishiwa awe anashuhudia moja kwa moja kwa screen kila kitu kinavyoendelea...
sijui kama ni kweli
 
Bora wangekuwa wana wapiga risasi tu kuliko mateso YOTE na mbwembwe zisizo natija.....wanahukumiwa dunianiani kufa kikatili hivyo ikiwa bado wanasubiliwa na muumba wao mwenye kutoa hukumu yenye hakhi na uswa kwa waja wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…