Kabrasha chumba cha kunyongea

nilipata kusikia kuwa rais anapaswa kuwa kwenye kiti chake cha enzi wakati hukumu ya kunyonga inafanyika na huwa anakuwa ameunganishiwa awe anashuhudia moja kwa moja kwa screen kila kitu kinavyoendelea...
sijui kama ni kweli
Sio kwa Africa labda huko ughaibuni na huyo mtu awe ni high profile figure
 
Wazo fikirika, je sio haki zaidi mnyongwaji akafa kwa njia ileile aliyomsababishia Marehemu aliyemuuwa?Mimi binafsi sipendelei adhabu ya kifo,lakini ikibidi basi iwe ya ki utu.mfano risasi za moyoni.
 
Sio kwa Africa labda huko ughaibuni na huyo mtu awe ni high profile figure
labda..
aliyeniambia alisema waasisi waliweka utaratibu huo ili raisi asisikie raha tu kusaini hati ya kunyonga watu hovyo
 
So sad...!
 
najua uzi umespecify kunyongwa ila kuuliza sio ujinga ...je kuna style ya kuua ambayo haina maumivu ya aina yeyote? na je kwenye ķuuliwa nani anae amua atanyongwa au sumu au shoti jaji au mtumiwa
Nchi yetu ni kunyonga tu nchini Indonesia wa ni kupigwa risasi.Marekani kila jimbo kuna sheria yake.Kuna sindano ya sumu na shoti ya umeme.
Sindano ya sumu ndio ya kistarabu kidogo maana unakufa ukiwa usingizini maana unapigwa ganzi kwanza
 
Kuwa Rais sio jambo jema kama wengi wetu wanavyodhani "only god can judge "but hapa rais ndo anaidhinisha mtu anyongwe "signature"
Hiari yako...mamlaka yako hayakulazimishi kuidhinisha hukumu ya kifo.Wapo marais wengi sana ambao wamehudumu na hawakuwahi kusaini hati za kunyongwa kwa waliokuwa na hatia hiyo.
 
Nchi yetu ni kunyonga tu nchini Indonesia wa ni kupigwa risasi.Marekani kila jimbo kuna sheria yake.Kuna sindano ya sumu na shoti ya umeme.
Sindano ya sumu ndio ya kistarabu kidogo maana unakufa ukiwa usingizini maana unapigwa ganzi kwanza
Fanya utafiti kisha uandike, hakuna uafadhali wa sindano ya Sumu, ndo maana wafungwa wameanza kukataa wamesema ni mateso makubwa mno mtu mpaka afe, kuuliwa ni kuuliwa aisee hamna unafuu wowote maana vifo vyote ni maumivu makali yanatofautiana muda tu
 
Kuna uzi fulani humu ndani wa yule mwarabu aalieajiriwa kuchinja watu wa hukumu ya kunyongwa
Halafu anakwambia muosha panga lile ni yeye na mwanae ambae anataka awe mrithi wake
Naukumbuka mkuu.
 
mshana embu nijuze endapo kitanzi kikakatika sikufa?na je kuna mda maalumu unawekwa kwa mtu kunyongwa labda dakika?na je zikipita sijafa?nini kinafatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…