Kabrasha chumba cha kunyongea

JfGreat Thinker a. k. a
Mhudumu chumba cha mahututi-wanaokaribia kufa
Mhudumu chumba cha maiti-tayari wamekufa
Msaidia kufa kwa wasiopenda kufa-ni wapi hao wasiopenda kufa Mshana Jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Mambo ya ISIS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya utafiti kisha uandike, hakuna uafadhali wa sindano ya Sumu, ndo maana wafungwa wameanza kukataa wamesema ni mateso makubwa mno mtu mpaka afe, kuuliwa ni kuuliwa aisee hamna unafuu wowote maana vifo vyote ni maumivu makali yanatofautiana muda tu
Hao wafungwa wanaokataa wamejuaje maumivu hayo

Ndundame
 
Mtu yoyote anaetoka nyumbani kwake na kwenda kumtoa binadamu mwenzake uhai tayari na yeye anakua amejinyima haki yake ya msingi ya kuishi hpa Duniani______Margaret Thatcher former British prime minister
Unaishi kwa akili ya huyo mama wa kizungu?

Ndundame
 
Kuna ile ya jamaa alihukumiwa kifo kwakupigwa risasi, siku ya tukio akawekwa sawa, watu wakajikoki, wakamimina ma risasi, ile wamemaliza wanaenda kuuangalia mwili wakakuta hata hata chembe ya jeraha la risasi ila amekufa, ikaja kugundulika alikufa kwa uoga, ilikua miaka ya zamani sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Jr[emoji769]
 
Nimesisimka ghafla...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…